WADAU WAPENDWA,
NINA FURAHA KUSEMA KWAMBA BAADA YA MDAU WA MILIONI 8 KUTIMIA WADAU KIBAO WAMETUMA ANUANI ZAO ILI KUPATIWA ZAWADI. TIMU YA GLOBU YA JAMII INAJIANDAA KUTUMA HIZO ZAWADI KWA WOTE WALIOWAHI KUTUMA ANUANI KATI YA MDAU WA MILIONI 8 HADI WA MILIONI NANE NA 100.

KUTOKANA NA UTOFAUTI WA MASAA KWA NCHI NA NCHI ZOEZI HILI LIMEFANYA WENGINE WATUME ANUANI IKIWA IMESHAPITA MUDA ULIOWEKWA. HATA HIVYO KWA KUZINGATIA HILO LA MUDA, ANUANI ZITAENDELEA KUPOKELEWA HADI SAA NNE ASUBUHI ZA HAPA BONGO. BAADA YA HAPO ZOEZI LA KUPOKEA ANUANI LITAFUNGWA NA ZOEZI LA KUTUMA ZAWADI LITAANZA. ZE FULANAZZZ ZITAANZA KUTUMWA WIKI IJAYO. TUFANYE SUBIRA, ILA KILA ALIETUMA ANUANI ATAPATA ZAWADI YAKE.

TUNATOA SHUKRANI ZA DHATI KWA WADAU
WOTE KWA KUENDELEZA LIBENEKE.
-MICHUZI


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Ankal, hapa sijui ndipo mahali penyewe pa kutuma hiyo anuani? Wengine tunatoka vijijini kuja mjini kufuata kusoma blog hii ya jamii. Naona kuna tangazo lako la kusitisha kupokea anuani za zawadi za the fulanazzz za blog. Tafadhali ankal niweke kwenye orodha hiyo tupate fulana tuitangaze blog yetu huku Mtwara. Hata kama sipo naomba nipelekee kunakohusika kabla ya hiyo saa 4 ya bongo tafadhali.

    Benedict Cleverson Emmanuel
    C/O Mr. Swallah Said Swallah
    S L P 1050
    Mtwara, Tanzania

    Asante za utangulizi.

    Benedicto
    Mtwara

    ReplyDelete
  2. Issa, mie pia ni mdau mzuri wa Blog hii ya wananchi, nawawakilisha jamaa zangu wa Ngome hapa Upanga,plz nakuomba usiniache katika mgao wa the FULANAZ ili niitangaze vema Blog yetu, napatikana kwa anuani hii; Bruno Lujabiko,TPDF-MI, Box 9203,DSM. Cel; 0754 554438 au 0615 554438, Thanx in advance.

    ReplyDelete
  3. Michuzi tafadhali nijibu
    Mimi nataka kununuwa ze fulanazzzz kwa kapesa kangu. je nawezakukutumia pesa kwa njia ya M pesa niweze kununuwa ze fulanazzz!
    pia wasiliana na zeezou kama kuna uwezekano mutengeneze za form six ( za kola) goood quality mutuuzie jamani

    ReplyDelete
  4. Duh! Mimi leo nimeanzia kwenye kikao nimekosa fulana hivi hivi
    Observer

    ReplyDelete
  5. utengeneze na vitop vya nademu wadau wa majuu turinge atii summer iko kwenye kona pliiz michu tunataka vitop vya kista duu na vya kawaida
    mdau canada

    ReplyDelete
  6. Du anko sasa huu mtihani,mm niliingia asubuhi sana kama saa moja na nusu hivi na nilipoangalia nikawa wa 8,001,400 nikajua nimeliwa na nikatuma comment hapo hapo, ss unasema alieingia mpaka saa nne saa za BONGO nae yumo na mm ndo naingia tena hivi ss naomba uangalie e mail niloituma mapema ili uhakikishe ninayosema na uniingize ili niwakilishe visiwa anuawani yangu ni
    Ali Talib
    P.O.BOX 615
    ZANZIBAR

    kama haiwezekani basi naomba uniambie ni bei gani ili nami ninunue

    ReplyDelete
  7. ANKAL ni naona itakuwa poa utoe T-Shirt BUKU (1,000) baadala ya JITI (100)

    Mdau

    ReplyDelete
  8. Ankal...mimi nilishinda na niliprint karatasi...halafu nilipofungua site nyingine bado number nyingine ilikua ya ushindi below 100. Ila sikuiprint kwa vile nilikua nataka tshirt moja tu lajkini nimeona hao wa mtwara na sijui upanga...kweli nilikua nikutumie sasa hivi address yangu lakini natuma tu karatasi ujue kuwa nilishinda na hiyo fulana mpe huyo wa mtwara...It's not fair mtu atembee huko kote halafu asipate...

    Nimesikia kulia kwavile kuna vitu tunatake for grated sana tu...Nina simu inainternet, laptop inainternet, pc home internet, pc kazini internet....lakini we don't appreciate this things....

    Ningeomba hata kutoa hizo zawadi wape tu watu wa vijiji kwanza wengine tuchangishwe kununua hizo tshirt

    By the way mimi ni msichana na ningeomba basi line yako iwe na women styles pia....LOL

    Halafu utafanyaje iwe tshirt moja kwa mtu mmoja? manake kama mimi at the time nilikua kwa blog yako ningeweza kufungua hata page sita ningekua na number ya ushindi...Don't u think kuna watu ambao walifanya hivyo na kupata number zaidi ya moja na tshirt watapata zaidi ya moja????....

    mdau USA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...