Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe akimtunuku Richard Kasesela Nondozzzzz ya Stashahada ya Uzamili katika Diplomasia ya Uchumi kutoka chuo cha Diplomasia jijini Dar leo.
Richard Kasesela akipongezwa na mai waifu wake baada ya kula nondozzzz





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Nampongeza sana brother kwa kupata nondozzzz.

    Ila kwa nijuavyo mimi, hiyo inaitwa SHAHADA YA UZAMILI na sio STASHAHADA YA UZAMILI

    ReplyDelete
  2. YES Brother, Big up! Hongera sana kaka mpendwa jirani yangu( kwenye transforma) keep it up.

    ReplyDelete
  3. Infwakt brother aliula sana alitunukiwa hiyo ya Diplomacy economy na nyingine ya international relations kwa heshima na zote ziko documented. Hongera kaka Rich Mh. Mtarajiwa tunataka watu kama wewe Bungeni sio ma fraud... Sala zangu ziko pamoja nawe kaka ila kama wakitubania jimbo; tufanye mazoezi kusubiria 2015 tumuwache mzee wa watu amalize ka ngwe kake vema. Cheers

    ReplyDelete
  4. Hivi wadau ,
    Hebu niambieni hicho chuo cha diplomasia na mambo ya nje ni chuo gani karne hii, hakini website au
    email?
    Ni elimu gani wanayotoa na kweli wanaohusika wanaona kweli wanaenda na wakati?
    Hii ndio maana hata viongozi wetu wa diplomasia, watashindwa kutuletea maendeleo nchini mwetu?

    Mdau,
    Norway

    ReplyDelete
  5. mdau wa kwanza,tafakari kabla ya kuvamia hoja,aliyetoa hoja yuko sahihi kwa kusema stashahada ya uzamili au post graduate diploma,unachokiongea wewe ni kitu kingine kabisa yaani masters" au shahada ya uzamili...pole.

    ReplyDelete
  6. hongera mkuu,ila mimi ni huyo mke wako tuu,duh ni mzuri unanikumbusha mbali bwana maana huku ni uchovu tu baada ya kubeba box bwana...

    ReplyDelete
  7. Kaka Michuzi,
    Hiyo ni stashahada(diploma) hawa jamaa hawajawa na uwezo wa kutoa shahada(digrii)..Halafu kaka Michuzi unajua hiki chuo mimi sikielewi..maana wana waalimu duni sana, na hata hiyo inayoitwa diplomasia ya uchumi hapo ni siasa tuu. sasa wanasiasa watafundishaje diplomaisa ya uchumi. Sidhani kama Wizara ya Mambo ya Nje inajua nini maana hasa ya "diplomasia ya uchumi"..Hizo fani zinazoitwa Dioplomasia ya uchumi nimegundua ni fix fulani..wanafunzi wanazikimbilia ikiwa si kwa ajili ya kupata elimu bali kwa ajili ya kutafuta "short-cut" kwenda kufanya kazi mambo ya Nje na kisha kwenda kwenye baliozi mbali mbali...Frankly speaking kaka Michuzi chunguza kwa undani hicho chuo ikiwa ni pamoja na capacity yake na pia ichunguze hiyo Wizara ambayo inamiliki hicho chuo kisha utanioambia niliyoandika hapa...Wizara haina hata mtandao wa Internet sasa ndo itaweza kuendeleza hiyo diplomasia ya uchumi iliyo kwenye makaratasi.."wataalamu wa hiyo fani ni wachache sana hapo chuoni na Wizarani ukilinganisha na mahitaji halisi...

    ""Ankali nakupa homework ufanyie kazi hii habari''...Wanafunzi wanajiunga hapo kwa ajili ya short cut tuuu...hakuna jipya

    ReplyDelete
  8. hongera saaana richard kwa kula nondozzz

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...