Home
Unlabelled
mawakala wa vodacom miss tz 2010 wapatiwa semina elekezi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka michuzi mimi kwa kweli nayachukia sana haya makampuni ya kibiashara. yani matatizo yote yaliyopo hapa nchini kipaumbele cha makampuni haya ni kwenye mambo ya starehe na urembo!! utasikia kampuni linafadhili uzinduzi wa albamu ya muziki na kutoa mamilioni kufadhili urembo!!! haya sasa hapa tunaona kila wilaya tanzania ina wakala wa vodacom miss tanzania!! kwanini wasianzishe mawakala wa vodacom wa mambo ya watoto yatima kila wilaya?? kwanini wasiweke mawakala wa vodacom wa kushughulikia tatizo la kinamama kupeteza maisha wakati wa kujifungua kila wilaya, kwanini wasiweke mawakala wa vodacom malaria na hiv fight kila wilaya?? kwanini wasijikite zaidi katika corprate social responsibilities zaidi. ningekuwa rais wa nchi ningepiga marufuku takataka zote hizo na kampuni ambalo halitaki funga biashara anza kwenu
ReplyDeleteHaya ndugu yangu Mahinya mwili unaanza kukutangulia huo. Basketball imeshindikana nini, au yale yalikuwa na Zimanimoto tu.
ReplyDeleteyaani hawa watu michuzi sura zao zinawasuta..kama huyo mwakilishi wa bagamoyo...anawaza fweza tu huyo,na namna gani ataweza kuwaducha! vyamtindo dhaifu..haya mashindano yamekosa maana kwa sasa!
ReplyDeleteMZAZI
kalikumtima aliacha kujishulisha na Basketball akaenda kwa warembo, alikuwa mtu committed na serious sana katika maendeleo ya basketball. Wish he could come back akaachana na warembo. we need strong and serious personality in basketball like this guy.
ReplyDelete