Mshindi wa kwanza katika draw ya NITASOMA
iliyofanyika leo asubuhi ametoka chuo kikuu cha Tumaini Iringa.

Witness Lucas mwanafunzi wa mwaka wa pili faculty of Education ameshinda Simu ya mkononi ambayo ni zawadi ya kila wiki ijulikanayo kama
NITASOMA MOBILE.

Wanafunzi wana shauriwa kushiriki ili kujishindia zawadi hizo mbalimbali zitakazo wasaidia kujiendeleza kielimu.
Kupaitia ujumbe NITASOMA kwenda 15767
Kwa maelezo ya kina nenda:
www.nitasoma.com
ELIMU KWANZA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...