dereva unauaaaaaaaaaaaaaa....!!! anamaka mdau mwenye kanzu na kofia wakati gari linalorudi nyuma linapombana mpitanjia aliyekuwa anakatisha kati ya hilo gari na baluni mchana huu mtaa wa jamhuri karibu na iliyokuwa cameo cinema zamani
derevav anazidi kurudi nyuma na kumbana mpita njia wa watu maskini
hatimaye dereva anapostuka na kusogeza gari mbele mpitanjia anachoropoka...
mpitanjia an akwenda mbio kwa dereva kutaka kujua kwa nini anataka kumtoa roho mchana kweupeee. mzee wa busara ambaye ni abiria anafanikiwa kumtuliza mpitanjia
...ebwana kama umeumia sema bwana...huyu si wa kumwachia hivi hivi. wapita njia wenza wanamwambia. hataki makubwa, anajiweka sawa na kuondoka zake










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Mchango wa mpiga picha katika hili tukio ulikuwa nini?

    ReplyDelete
  2. huyu dereva mshenzi sana kwani hana sight mirro? mana isinge kuwa kubana jamaa basi angechuna baloon ya watu,hivi TZ hamna driving school hivi.

    ReplyDelete
  3. mashne kwanza vp ihai?!

    ReplyDelete
  4. AIIIIIII JAMANI MKAKA WAWATU WANAMMINYA IKULU POLEE EH. JOYCE.

    ReplyDelete
  5. UWWWWWIIIIII Bongo tambarare. Ingekua ni uku huyo mpitanjia kesha tajirika. Mwenye gari kafilisika na dereva wake chamoto anacho..

    Yaani mtu anajirudia tu nyuma mpaka agakwangua hiyo gari iliyopakiwa hapo na kugonga watu na watu wanaagalia tu. hao trafic wa barabrani wako wapi?

    kwanza hizi picha ni ushahidi tosha nadhani hata aliyekwanguliwa gari lake atajua nani wa kumsue

    Masikini nchi yangu

    ReplyDelete
  6. Wewe anony wa kwanza hapo juu acha zako hizo, kama hizo picha hazina mchango wowote michuzi angeziweka? au ndio nyie wapinga maendeleo, kila watu wanapojaribu kufanya la maana basi lazima mtie domo tindi, mmekaa na roho mbaya tu kila siku. Hivi mtaelimika lini nyie?

    ReplyDelete
  7. BONGE LA MOVIE!!!!

    ReplyDelete
  8. hawa wa hindi nao wamezidi kujipenyesha penyesha nyuma nyuma sana kwa nini asinge pita kwa mbele. tatizo la wa hindi wanaamini sana ushirikina kamwe awawezi pita mbele adi apite nyuma.

    ReplyDelete
  9. mtu mwenyewe nahisi ni muhindi,labda dereva alikuwa analipiza kama wao wanavyo wanyanyasa ndugu zetu,mhindimtanzania ni muhindi,short live dual citizenship,

    ReplyDelete
  10. Ahaaahaa! pole zake Mdosi wa watu, lakini ingekuwa Unyamwezini huyu Mdosi angekuwa tajiri tayari mambo ya Bima nini......!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...