Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa akisisitiza jambo kuhusu serikali kuendelea kuimarisha hospitali na vituo vya afya kwa kuvipatia aina mpya ya darubini za kuchunguzia vimelea vya kifua kikuu pamoja na usambazaji wa dawa sahihi za kutibu kifua kikuu katika hospitali na vituo vya afya wakati akitoa Tamko kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kudhibiti Kifua Kikuu Duniani yatakayofanyika kitaifa wilayani Karatu mkoani Arusha. Kushoto ni Katibu mkuu wa wizara hiyo Bi. Blandina Nyoni.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa akisisitiza jambo kuhusu serikali kuendelea kuimarisha hospitali na vituo vya afya kwa kuvipatia aina mpya ya darubini za kuchunguzia vimelea vya kifua kikuu pamoja na usambazaji wa dawa sahihi za kutibu kifua kikuu katika hospitali na vituo vya afya wakati akitoa Tamko kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kudhibiti Kifua Kikuu Duniani yatakayofanyika kitaifa wilayani Karatu mkoani Arusha. Kushoto ni Katibu mkuu wa wizara hiyo Bi. Blandina Nyoni.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...