Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa akisisitiza jambo kuhusu serikali kuendelea kuimarisha hospitali na vituo vya afya kwa kuvipatia aina mpya ya darubini za kuchunguzia vimelea vya kifua kikuu pamoja na usambazaji wa dawa sahihi za kutibu kifua kikuu katika hospitali na vituo vya afya wakati akitoa Tamko kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kudhibiti Kifua Kikuu Duniani yatakayofanyika kitaifa wilayani Karatu mkoani Arusha. Kushoto ni Katibu mkuu wa wizara hiyo Bi. Blandina Nyoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...