Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Alex Kaaya akimuonyesha Dawa mbalimbali zinazotumika kusafisha maji kabla ya kusafiriswa na kumfikia mtumiaji wakati wa kilele cha wiki ya maji iliyomalizika leo katika kijiji cha Mwendapole Kibaha Mkoani Pwani. Shoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Haajat Amina Said Mrisho. Picha na Mwanakombo Jumaa wa Idara ya Habari Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Akimuonesha NANI???

    ReplyDelete
  2. Bwana Michuzi hayo maelezo katika picha hii hayajitoshelezi...Alex Kaaya akimuonyesha nani?..halafu siyo shoto ni kushoto kwa...ni...tujaribu kuandika maelezo sahihi kwa mtiririko maalumu...hizo dawa ni maonyesho tu au? mbona tunaoga tope ndugu zangu,au hizo tope zinaiingia maji yakiwa yanasafiri toka katika visima kuja majumbani kwetu?

    ReplyDelete
  3. florian rweyemamuMarch 23, 2010

    Mmmh, mbona maji masafi hatupati? au mie sielewi? ni kiwango kipi kinatumika?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...