

(Picha na Tiganya Vincent/Owen Mwandumbya wa Bunge)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
LETS GIVE CREDIT WHERE.....
ReplyDeleteAnkal,
Naomba nichukue fursa hii kwa kumpongeza PR officer wa ofisi ya bunge, kama sikosei atakuwa ni Owen Mwandumbya.
Huyu mtu ametokea kunivutia kwa jinsi anavyojua kutumia opportunities alizonazo ndani ya uwezo wake.
Sitaki kusema mengi sana leo lakini nadhani wenye akili timamu wataelewa nasema nini.
Hawa ndio ma-PR wanaostahili kushika nafasi ktk ofisi za serikali na taasisi zake. Waliobakia wanalala au wanafanya kazi bora liende
Mdau Kilimahewa
Anon hapo ulieelewa, hebu tufafanulie na sie wengine ambao tupo mataa kiasi. What is the hidden meaning?
ReplyDeletemhh we unaongea una uhakika na unachokisema.tunahitaji ma-PR wa aina hii lakina kuna matukio kibao mazuri huyo Owen wako ameyamiss. consistency muhimuuuuuuuuuuuuu
ReplyDeleteDuh,
ReplyDeleteLucy Owenya nae si haba.