Bakhili mmoja alinunua mbuzi; akamwambia mpishi... "halloo, sikiliza ee... nusu ya nyama ipikie pilau na nusu nyingine itie kwenye friza, kichwa kichune tutafanya supu na miguu tutafanya mchuzi chuku chuku …ngozi yake usiitupe tutafaya msala. Utumbo tutaupika na ndizi, na mavi yake tutafanya mbolea ya miti, mifupa tutawauzia wenye mbwa..."

Mbuzi aliposikia akamuuliza Mheshimiwa....
hutaki sauti yangu uweke as ring tone kwenye simu yako?
Have a nice DAY!
Mdau Umangani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. I like this...very funny

    ReplyDelete
  2. ...na mavi yake tutafanya KICHURI..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...