Home
Unlabelled
Ibada ya Alhamisi kuu leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KWENYE HII IBADA WATU FULANI FULANI HAPO WANGETOKA NDUKI KAMA KUPIMA UKIMWI MAANA WAKITOA VIATU NI KAMA CHOO KIMETAPISHWA.
ReplyDeleteAnkal.. hao hawaitwi Maaskofu Wakuu Wasaidizni Maaskofu Wasaidizi, hakuna cheo kama "Askofu Mkuu Msaidizi" kwenye Kanisa Katoliki. Mdau Safarini Ikwiriri, Rufiji.
ReplyDeletehuku ughaibuni kuna sakata zito la wakatoliki..la kuwabaka watoto wadogo wa kiume tangu miaka ya 60 sasa naomba uncle michu upelelezi upitishwe na huko kwetu ili tuone kama wazee wetu wa enzi zile walinusurika na hawa watu
ReplyDeleteNaam kama Wamenno vile,
ReplyDeleteYesu alituamuru tufanye hivi kwa ukumbusho wake.
Waongo watupu wana wadanganya watu waishi kwa matumaini wao wenyewe wana jiendeleza na mishaara wanayo ipata.kwanza kabisa wangekua wanatangaza kila mwezi wanapata mkisi gani na kuwasaidia waumini wao ,watu wanakufa njaa wao wanasema eti utashiba kwa damu ya yesu
ReplyDeletemka wadanganye hawo hawo wasio wajua mm kwangu ampati sadaka Paka shume,
@Anony Fri Apr 02, 06:13:00 PM namshukuru Michuzi kutoa koments za wazima na vichaa.
ReplyDeleteSijaona point hapo ila ni kama umetoka kwenye pombe za kienyeji kisha unatoa koment
Nani kakuomba sadaka?
Wenye njaa wewe unawasaidiaje?
Wewe ndiye paka shume ama nani?
Nenda kwa dakta uone watz wrong na brain kaka. Might b a lil damage