Ni miaka 9 sasa tangu ulipoitwa na Bwana 12.04.2001, baba yetu mpendwa EMMANUEL ZEBEDAYO MWASUBILA tunakukumbuka sana kwa upendo,busara na hekima zako.

Unakumbukwa na mkeo Bertha Mwasubila,wanao Enock Bwigane , Victoria Ntuli , Edna Nisile na Allan Mponjoly , Mkweo Miriam Bwigane na mjukuu wako Aikman Alinanuswe.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa

Jina la Bwana lihimidiwe...

Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...