Marehemu Alhaj Mkambavange Kibodya March 1919 - April 2008
Ni miaka miwili sasa toka mzee wetu,
mshauri wetu,
baba yetu alipotutoka duniani.

Twamwomba Mwenyezi Mungu amjaalie mapumziko mema katika kabri na amjaalie kuwa miongoni mwa watu wa amali njema siku ya hesabu - Ameen!!

Unakumbukwa daima na wanao,
nduguzo, wajukuu zako na vilembwe wako.

"Inna Lillahi waina lillah rajiun"
Isaac A. Kibodya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Poleni kaka Isaac. Anaonekana mzee alikuwa bado na nguvu sana! Mungu akiamua hakuna upinzani. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi, Amina!

    Marko,
    USA

    ReplyDelete
  2. M mungu amlaze pema peponi amin.michuzi ankal wangu m mungu alukalie nomejua msiba huu kwenye blog yakobinadam si kitu mzee mkamba tutamkumbuka wengi kwa roho yake ya imani na kupenda wapita njia.wakati nipo shule tunapita anatuambia jamani wajuukuu zangu hamjambo tunaenda kumsalimia anatuonesha picha za wanawetunaipenda picha nakuuliza picha nanimpiga pichagani kakupiga anajibu hapo ni studio marekani ndomana nzuri.najisikia uchungu kumpoteza babu yetu wa uhindin.mdau uhindindodoma poleni wote wanawa mkamba

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...