TA,TAWA,ZAWA , ATWID and other Tanzanian community organisations in the UK invite you to a Tanzania national day celebrations and a farewell party for Balozi Mwanaidi Sinare Maajar to be held at the La Royale Banquenting Suites on May 1st 2010 from 08:00 PM to 03:00AM.
Lovely Gamble movie trailers will be screened.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. mpendwa mama balozi,mcheshi,mtanashati,mchapakazi na pia mtu wa watu,nimeishi uuwingereza kwa miaka nimeona mabalozi ambao walikuwa hawana uhusiano na watanzania wasio na undugu vigogo au utajiri kama mama majaar.kwa masikitiko makubwa na shingo upande ninapenda kumuaga mama balozi na familia yake kwaheri ya kuonana, kila la heri katika shughuli zako.inshalla mungu akuongezee

    ReplyDelete
  2. Mkata issueApril 02, 2010

    Eti
    "...nimeona mabalozi ambao walikuwa hawana uhusiano na watanzania.."

    Hivi hii inawezekanaje? Yaani, watu hawana uhusiano na Watanzania halafu wapewe Ubalozi wa kuiwakilisha Tanzania? Yaani hata mmoja kasoro huyu tu? Ebu tuifikirie hiyo kauli ya mwenzetu na tuichambue bila jaziba.

    ReplyDelete
  3. WANAMZIDISHIA SIFA MAMA BALOZI.nadhani huyu wa mwanzo anajikomba.

    ReplyDelete
  4. Huyu balozi sifahamiani naye lakini nampa heko. Sijasikia kabla yake balozi wa nchi yetu akipewa sifa kwa kuwa karibu na watu wake. wapiga box UK tukae mkao wa kula

    ReplyDelete
  5. offcourse,huyu mama ni mpiga kazi wa ajabu,mbunifu,na yuko karibu na watu,sio mibalozi mingine inajifikiria yenyewe tu

    ReplyDelete
  6. KWELI KIZURI HAKIDUMU..MMEMUONA HUYU MAMA ANAFAA SASA MMETIA MAJUNGU MPAKA AMEONDOSHWA..SASA TUONE HUYO ATAKAYEKUJA...SINA HAJA YA KUSEMA MENGI HAPA.....

    ReplyDelete
  7. kweli ni tukio zuri si la kupitwa,ni vizuri tukasherekea sikukuu ya muungano wa bara na visiwani pia tukamuaga mama balozi pia. ila sijapendezwa na hiyo programme ya kuonyesha trailer ya lovely gamble movie. inahusu nn hapa? haiingiliani na shughuli hii. au kuna watu binafsi wananufaika na hilo? kama movie zote za kibongo zingefanywa hivi,basi ingekuwa kazi kubwa. pls dont spoil the whole good idea by screening these clips there!!

    ReplyDelete
  8. mwenye nchiApril 03, 2010

    sisi tutafuata hotuba ya kuagwa na balozi na magita. sasa hayo ya kuonyesha movie yanatokea wapi? ilibidi wapange mambo ya marketing b4 they did the movie. hivyo wangefanya research yao mapema,sio kutukalisha sisi watu wazima chini kwenye viti kuangalia movie,kwani pale sio empire au odeon,ebo!!!

    ReplyDelete
  9. hii imekaa poa sana. hata mimi kwa mara ya kwanza nitatoka out tokea nije nchi hii kwani hamna kiingilio. siku zote mlikuwa wapi kufanya mambo haya?

    ReplyDelete
  10. NAOMBA UFAFANUZI JUU YA HIYO TANZANIA NATIONAL DAY - APRIL 1st AU NI APRIL FOOL'S DAY?

    ANYWAYZ, KARIBU USA MAMA BALOZI WE NEED SOMEONE WITH YOUR DYNAMIC ENERGY... IT IS HIGH TIME..COZ WASHINGTON DC NEEDS SOMEONE LIKE YOU AROUND TO CLEAN UP AND PUT US ON THE MAP.

    ReplyDelete
  11. Mtajuaje hiyo Movie wanasponsor that event....

    kama hamtaki basi jichangisheni muweke party yenu bila Movie....

    ReplyDelete
  12. Mabalozi wa huku tunakoishi wanafanya catering tu....hawajui kazi zao...Huyo mama namuona kila siku kwenye picha tafuta wa kwetu kwenye event yeyote kama utamwona

    ReplyDelete
  13. Karibu USA but we are very buisy . Hii bi capitalist country muda wa matawi ya CCM hamna . Na ninahisi hawaruhusu . 24 hours on clock .

    ReplyDelete
  14. MKATA ISSUE ni wale watu ambao they felt sad and lonely,hana watu wa kuongea nao akifika kwenye mtandao ye ni mbishi mbishi tu,huyu bwana anaweza kuanzisha ugomvi akijitazama kwenye kioo.kama huna dondoo za kuandika usiandike kitu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...