Ankal Michuzi-
Pole na kazi, hongera na mafanikio yako katika mitikasi mizima ya blog yako ya jamii. Ebwana naomba uwatangazie wadau kwamba ile Blog ya January Makamba
Pole na kazi, hongera na mafanikio yako katika mitikasi mizima ya blog yako ya jamii. Ebwana naomba uwatangazie wadau kwamba ile Blog ya January Makamba
"imefufuka".
Na wadau wanakaribishwa kuchangia katika mada muhimu kuhusu nchi yetu, na sera mbali mbali zitakazosaidia kumuondoa Mtanzania katika umasikini sugu.
Nashukuru kaka-
Thuwein
Nashukuru kaka-
Thuwein
Asante suedi shangtsung
ReplyDeleteKumuondoa Mtanzania gani kwenye umasikini, wakati Mzee wenu ndio anawaingiza watanzania kwenye umaskini zaidi kwa sera zake mbovu na kuwatetea mafisadi. Sema globu imerudi kuendeleza kampeni yake ya ubunge hapo tutaelewa.
ReplyDeleteKweli ndugu, umaskini utaondoka vipi kwa dhuruma na maushenzi wanayowafanyia Watoto wa Bongo Fleva. Tena kwa kushirikiana na yule Fisadi la Kihaya la pale Clouds. Ruge na Januari nyie mmepata kwa utafutaji wenu,waachane vijana nao waganje njaa kwa juhudi zao, msiwadhurumu. Inauma sana lakini ipo siku.
ReplyDelete