Juliana Mwingira siku ya send-off yake ukumbi
wa Msasani makuti hall jijini Dar wikeidndi ilopita
Juliana akiwa na mtarajiwa wakatiw mnuso wa send-off yake
Juliana akimtambulisha mtarajiwa
Juliana na besti wake
muda wa keki
champeni...
meza kuu
mtarajiwa na wazazi wake
Juliana ajiunga katika libeneke la mduara
kamati ilofanikisha mnuso huu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. Duh! kazi kweli kweli

    ReplyDelete
  2. kweli unawakawaka umependeza saaana.
    Mungu awatangulie katika maisha yenu mapya msimsahau Mungu pia upendo usipungue daima, msamaha na uvumilivu ni kitu cha muhimu

    ReplyDelete
  3. hongerani sana mmependeza sana

    ReplyDelete
  4. bi harusi umependeza sana and your so prety, na harusi inaonekana imeandaliwa vilivyo, mungu akujaaliye mume mwema mdogo wangu, na pia usiache maombi kwani ndio nguzo kubwa katika ndoa. mungu aibariki ndoa yenu na akuondolee husda za binadamu wabaya, na akujaaliye uvumilivu katika ndoa yako kwani maisha ya ndoa sio lele mama. dada n London.

    ReplyDelete
  5. SIKUJUA KAMA RANGI NYINGINE ZINAPENDEZA HIVI. MMEPENDEZA SANA!

    ReplyDelete
  6. mmpendeza sana na karibuni kwenye matatizo

    ReplyDelete
  7. hayawihayawi mbona yameekuuua... kwaheli mama yangu kuonana majaliwa, ntarudi nyumbani kutembea...
    Hongera Juli, pia Baraka umepata kifaa!
    Hongera

    ReplyDelete
  8. yeah bibi harusi kapendeza na amejua nini cha kumvalisha mtarajiwa wake. nawatakia kila la kheri katika maisha mapya mnayotaka kwenda kuyaanza na asikuambie mtu bwana ndoa tamu. kauli zako tu ndio utaona ndoa mbaya na ukiruhusu shetani akutawale ndio kabisaaa umemfanya huyo mtarajiwa kutafuta ambaye atambembeleza. naomba kuishia hapo kwani nadhani mambo yote umeshaelezwa na wakubwa zako.

    Ila asije akaja kidudu mtu akakuambia weye kwanini umeolewa muulize kwani yeye hataki au hajapata?

    ReplyDelete
  9. mdau wa icelandApril 21, 2010

    michuzi,hii blog ni WORLDWIDE,kwa hiyo jaribu ku-post kwa ethics za kimataifa,picha lundo kwa shuguli mmoja tu na just a mere wedding/sendoff-michuzi you can do better then this

    ReplyDelete
  10. we hapo juu,
    mawivu tuuuuuuuuuuuu!
    wabongo bwana!

    ReplyDelete
  11. Mh..Julianaaa

    ReplyDelete
  12. WADAU NISAIDIENI NITAPATA WAPI MCHUMBA NA MIE 32 YEARS SASA PLEASE

    ReplyDelete
  13. wamenoga saaana...NIMEZIMIA CAKE!!

    ReplyDelete
  14. Jamani binti kapendeza,na huo ujicho si mchezo.Hongera sana juliana Mungu awajalie ndoa njema isiyo na doa.Ni mimi mdau mwenzio pale zanaki girls 1996-1999 class MA.

    ReplyDelete
  15. Hiyo ni send-off tu; je harusi itakuwaje? Masha Allah!

    ReplyDelete
  16. KWA HARAKA NILIDHANI MWOAJI NI RAY KIGOSI!

    ReplyDelete
  17. $1000,000,000.00April 22, 2010

    usipate taabu mdogo wangu. umependaza sana.

    ReplyDelete
  18. michuzi mimi ninataka sana kumpa ponzi bibi harusi. Asante michuzi

    ReplyDelete
  19. Saidi acha sound,mchumba hatafutiwi kama kazi.. omba Mungu utapata.

    ReplyDelete
  20. Umependeza sana Juliana. Kumbe shopping ya Marekani inalipa. You look so pretty. I like the hair style is simple and nice. Umetoka mwaaaaaaaaaaaaaaaaa.

    Baraka, na wewe umependeza.Mungu awajalie maisha ya ndoa ya furaha na upendo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...