Home
Unlabelled
masupa staa wanapokutana mitaani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HAWA JAMAA INGELIKUWA MAMTONI WANGEKUWA HAWASHIKIKI, NA WANGELIKUWA NA MABAUNSA PEMBENI, LAKINI NDO HIVYO TENA WAKATOKEA KUZALIWA BONGO, YAANI INASIKITISHA SANA.
ReplyDeleteKAZENI MISULI WASANII WOTE WA TZ IPO SIKU AU BAADA YA NYINYI WATOTO WENU AU WAJUKUU WENU WATAKUWA NA MAISHA, YA KISUPA STAA
Hivi huyu bwana mdogo Kanumba ana matatizo gani? Kuvaa naona kuna-mpiga sana chenga. Tulimuona na shati la PINK na sasa kavaa koti la suti na kaacha LEBO yake kwenye mkono, looohhhh. Bro, Mithupu, uwe unawaambia hawa vijana wako kuwa hicho kipande inabidi ukitoe. Ila waambie kwa Kiswahili maana wengine Kimombo chako ambacho ni very richabo kinaweza kikagoma kuwa-RICH'a. Mdau, Sizya.
ReplyDelete