Beki wa Moro United, Oscar Joshua (kulia) akichuana na mshambuliaji wa Manyema Rangers, Waziri Khatibu.
Beki wa timu ya Moro United, Stephano Mwasika (kushoto) akimiliki mpira huku akizongwa na mshambuliaji wa Manyema Rangers, Lusajo Mwakyusa wakati wa mchezo wa Ligi ya Vodacom uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Manyema ilishinda 2-0 na kuishusha daraja timu ya Moro United.
Home
Unlabelled
moro united yashuka daraja baada ya kichapo 2-0 toka kwa manyema rangers
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kosa lao wenyewe wanavaa jezi za nuksi wataacha wapi kuteremka daraja.
ReplyDeletemaskini abeid mziba,hapo kibarua naona kishaota nyasi....time ya kutumia savings sasa,kama unayo lakini!
ReplyDelete