Habari Ankal!
Naomba kupata msaada. Nasikia ramani ya mji mpya wa Kigamboni inapatikana kwenye mtando. Je, ni site gani niingie niweze kuona hiyo ramani.
Naomba msaada jamani.
Mdau Kigamboni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mdau hiii taarifa niliipata lakini mimi nimeambiwa ramani inauzwa kule kule kigamboni kuna ofisi zaooo.kama ungekuwa na wakili nadhani mawakili wengi wanakuwa nayo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...