




Muddy Idd mwanasarakasi mwenye kuwanasa
washabiki kwa vituko vyake huko ugahibuni!
Pichani akiwa katka moja ya maonesho ya Pasaka nchini Spain.
Muddy anamshukuru sana mwalimu wake Rajabu zubwa wa Basata akisema kweli aliwafundisha SARAKASI halisi,
Muddy anamshukuru sana mwalimu wake Rajabu zubwa wa Basata akisema kweli aliwafundisha SARAKASI halisi,
NA KWAMBA SARAKASI KWA SASA IMEKUA KIVUTIO AMA NI NJIA NYINGINE YA KUITANGAZA NCHI YETU TANZANIA KWA NJIA HII KWANI KILA ATOKEAPO JUKWAANI JINA LAKE NA KWAMBA ANATOKA TANZANIA HUTAJWA NA KUSHANGILIWA SANA
Hakika wasanii wengi wa Tanzania wanaoishi ughaibuni wanaitangaza vema nchi yao kwa njia ya sanaa zao za maonyesho!
Muddy ambaye ana maskani yake mjini Koln,
Muddy ambaye ana maskani yake mjini Koln,
Ujerumani kwa sasa anafanyia shughuli zake nchini Spain.
Mmatumbi huyu mwenye kipaji amekuwa kivutio kikubwa kwa washabiki wa sarakasi kila anapofanya show huko ughaibuni kwa kushirikiana na wasanii wengine wa mataifa mbali mbali ya ulaya.
Shukrani Muddy kwa kuitangaza Tanzania.
ReplyDelete