
Mhe. Ali Mzee, ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar alikuwa ziarani Washington DC, Marekani, hivi karibuni ambapo alipata fursa ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbali mbali wa Serikali ya Marekani, kutembelea Bunge na Baraza la Wawakilishi la Marekani, na kutembelea makazi ya Rais wa Marekani ya White House katika ziara ambayo aliandaliwa mahususi na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Mazungumzo yake yalikuwa ni elimu kubwa kwa viongozi wa Marekani kuelewa historia ya Zanzibar na Tanzania pamoja na maridhiano ya vyama vya CCM na CUF.
Me love this country so much, ha ha ha ha! Obama kweli mume mtu!
ReplyDeleteUNADHANI KILA MTU AKIJIPELEKA ATAONANA NA OBAMA!!!!!!!!!
ReplyDeleteBongo kweli ni vichaa. roland Burris ana scandals kibao za corruption kwa kununua kiti. Lakini anapelekwa juu na wabong na kupiga picha na viongozi wetu. Lini umewahi kumwona Roland Burris na kiongozi wa nchi nyingine. Obama is nothing but a socialist and a liar. Obama is the dumbest president ever ruled America. Hana lolote wala chochote. Wabongo amkeni muanze kusoma mambo kwa undani. Acheni kukumbatia wasoshalisti
ReplyDelete