Home
Unlabelled
rihezo ya moto yafana PPF House Dar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
...Kwa kawaida..nchi za wezetu..kama kuna tukio kama hilo...hutolewa taarifa mapema kwa wafanyakazi wa office na jengo kwa ujumla...I never seen the worst decision like that...other people got pressure..
ReplyDeleteovyo sana kwa nini hamkuwataarifu hao watu wanaofanyakazi wenye ofisi zao kwenye hilo jengo? mnakurupuka tuu hamjui kuwa watu wengine wanamagonjwa ya BP tumieni akili ovyooooo kufanya tu mambo alimradi watu wangevunja miguu yao sijui mngewasaidia vipi , wapuuzi sana
ReplyDeleteNgoja itokee moto wa kikwelikweli, halafu hao watu watajua ni yaleyale tu ya RIHESO
ReplyDeleteNa bongo palivyo siku hizi kama vichochoro vya Itali tgu au Zenji, sijui Faya zitapita WHERE??
sisemi mengi nikaambiwa ni muosha kinywa, lakini jamani moto wa kweli halafu zima moto anapanda na fire extinguisher? jamani jamani huko sio kuuwana lakini? kwa nini hawapewi vifaa vya kuweza kupambana na moto?
ReplyDeletetuseme kama ni moto wa haja unafikiri vitangi hivyo ndio vitazima moto?
Hivi tanzania hakuna magari ya zima moto?
MICHUZI,michuzi,michuzi,unakosea mdau jp martin anakula vumbi hapo PPF na sio kula boxi- boxi ni la wana wa mtoni
ReplyDeleteTanzania inabidi twende na wakati,watu huwa wana-post flyers kuwaeleza watu nini kitakachotokea saa ngapi na lini,mnaweza kuuwa watu hivihiviHalafu nani wa kulaumiwa?.
ReplyDeleteTHIS IS WRONG!FIKIRIA UKIKURUPUSHA WATU HIVI NEW YORK, LONDON, TOKYO, PRETORIA AU GABORONE BILA KUTOA TAHADHARI ITAKUWAJE? MPAKA SIKU ATAKAPOKUFA "KIGOGO" KWA MSHTUKO KWENYE ZOEZI KAMA HILI NDIYO MTATAMBUA KUWA MNAWATREAT BINADAMU KAMA WANYAMA.WAKATI UMEFIKA KUACHANA NA MAMBO YA UJIMA. KWANI SHERIA ZINASEMAJE?
ReplyDeleteBaada ya watu kuiba pesa za wafanyakazi waliostaafu wanachoma moto ili kuondoa ushahidi, kweli Bongo tambarare!
ReplyDeleteMAKUBWA MOTO WA KWENYE JENGO KUZIMWA KWA FIRE EXTINGISHA
ReplyDeleteKwa bongo ingetoka taarifa ya fire drill asingeshuka mtu..ustaarabu wa watu kuheshimu fire drills ni kwa nchi zilizoendela tu
ReplyDeleteMdau wa Sat Apr 17, 12:54:00 AM una akili sana. Umeongea point kuliko wote. Wabongo asingeshuka hata mmoja, ndio kwanza watu wangejikorogea chai zao wanywe na zoezi lisingekuwa na mafanikio yaliyokusudiwa, after all kama ingetangazwa isingekuwa na maana kwani watu wa fire wangejiandaa, inabidi nao kuwastukiza kuona wata-respond namna gani... Angetokea mtu kufa ni ajali kazini, kwa kuwa hilo ni shirika la bima lingelipa haraka.
ReplyDeleteKudoz kwa Resesoz
nyie mnacheza na wabongo, uwaambie tutakuwa na fire drill, unafikiri kuna mtu atashtuka, wala hawatajigusa. hivyo walivyofanya ni sawa kabisa
ReplyDeletesasa kwani mazowezi ni ya watu kutoka jengoni au fire brigades kupambana na moto? kama ni real fire watu wanaweza kutoka jengoni na kama fire brigades wazembe jengo linateketea! kwa hiyo hapo mtu hafanyiwi practice kukimbia hatari hiyo ni involuntary action utakimbia tu ikitokea ila wanafanyiwa practice jinsi ya kujikinga na kukabiliana na hatari kwa hiyo fire brigades ndio waliokuwa wanafanyiwa mazowezi so still point ya kuwaambia wafanyakazi ipo pale pale that was unfair kwao.
ReplyDeleteHebu sikizeni! Faya wa bongo hukinga kila mwezi bilakufanya kazi yoyote. Riheso ni moja kati ya kazi za kubwa ambazo huzifanya kza ufanisi. Lakini lkifumukafaya la ki-true true, thubutuu!
ReplyDelete1. Zana hafifu, eksitinguishaa? Wanastahili medali hawa hata kwa kudhania tu kwamba wataweza kufifisha faya kwa kifaa hicho ambach hakitoshelezi hata kuzima moto wa sevanti kwota!
2. Kuna mdau hapo juu kasema pwenti. Ivi fikiria, ni saa mbili asbuhi (au muda wowote mbapo barabara zawa na msongamano wa motokaa) alafu kafaya kanaanza taratiiibu pale tunapopaita sitesenta. Hawa faya watafikaje pale? Watapita wapi?
3. Hizo riheso ni hadaa iliyo uchi kujaribu kuonesha kuwa kuna vitengo au vivuli vya vitengo vinavyoshughulikia usalama wa wanadamu wa Tanzania (sio wananchi, kwani wenye au wananchi ni wachache). Zimamoto za mabua!
4. Mungu ibariki Tanzania
Dayasipora
Oyaa hii ni kawaida tu mbona hata huko mnakosema Ulaya mambo ni hivyo hivyo tu. Hakuna cha flyers au hata matangazo.Haya ni mazoezi ya kawaida tu kwa ajili ya kuangalia uelewa wa watu kujikinga na majanga ya moto.
ReplyDelete