Ankal Habari,
Kwanza wasalimie wa nyumbani wote hapo, pili nawaambi Man U wakae chonjo mana goma limewashinda (tuliwapa nafasi kwa mda wamechemka). Sisi wazee wa Darajani tunajiandaa kula bata kusheherekea ushindi wetu usio na dosari.
Wasalimie wote
Mdau wa Darajani kutoka Milima ya Sinai
(Sharm el Sheikh - Egypt)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Halafu kaka waambie asiependa asage chupa abwie kwani wame zidi mno. Man U akishinda wanaitwa mabingwa sie wapolish twaambiwa ushindi wa utata! loh!!! moto mtauona msimu huu!!

    ReplyDelete
  2. Msaka TongeApril 14, 2010

    Asante sana Mdau Ally Ubwa kutoka Milima ya Sinai tumekupata uzuri.

    ReplyDelete
  3. Chelsea wameungana na Man U katika masuala ya mbeleko

    ReplyDelete
  4. Mwaka wa chelsea huu bila ya shaka, double inachungulia ile pale. Man u mazishi yenu jumamosi katika stadium ya man city, mwaka huu mmechemsha kinoma.



    Mdau True Blue Helsinki.

    ReplyDelete
  5. ha ha ha eti bila utata hata goli la drogba sio utata eenh, kumbuka limewapa point 3 za bure mmemuharibia refa wa watu kibarua kwa kuwafavor


    ha ha ha ha tatzo hamjazoea ubingwa ndo maana kelele nyingi wakati bado jion subirini giza liingie kwanza

    Mbona mnawapigia kelele man u tu mnawaogopa eeeeeeeeenh haoooooo... wakt kuna arsenal hapo

    Man u

    ReplyDelete
  6. Kidaraja Oyeeeeeeee!

    ReplyDelete
  7. Mtamuona Liver mkikutana naye nyie kenueni tu, na kikocha chenu chenye sura mbovu. The GUNNERS are chaps this yaa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...