
Na Ripota wetu Ughaibuni
Timu ya Stars inatarajiwa kupambana na Zambia hapo April 24 mwaka huu,mjini Cambridge,Massachusetts mpambano uliopaniwa na Wazambia.
Wazambia waishio Marekani huaa na siku maalumu ya kuwa mwangalifu na ukimwi kila mwaka shughuli hizi hufanyika state tofauti. Mwaka huu wanafanyia Massachusetts na huwa na shughuli za michezo kama vile mpira wa miguu ambapo mwaka huu wameialika Timu ya Tanzania(Stars United) kucheza na timu yao inayoundwa na golikipa aliyewahi kuichezea club ya Zamsure na timu ya taifa.
Wazambia waishio Marekani huaa na siku maalumu ya kuwa mwangalifu na ukimwi kila mwaka shughuli hizi hufanyika state tofauti. Mwaka huu wanafanyia Massachusetts na huwa na shughuli za michezo kama vile mpira wa miguu ambapo mwaka huu wameialika Timu ya Tanzania(Stars United) kucheza na timu yao inayoundwa na golikipa aliyewahi kuichezea club ya Zamsure na timu ya taifa.
Wengine ni mabeki Aaron Simutowe aliyewahi kuchezea club ya Zanaco na timu ya taifa ya Zambia,atakuwa akisaidiwa na Peter Chitila na Emmanueli Chibale viungo wa timu hiyo ya Zambia ni Elton Kufa na Yonnah Banda mdogo wa mchezaji Cosmas Banda. Washambuliaji wataongozwa na School boy international Patrick Daka(Sacred Heart University) na Mambo Phiri(Worcester State University).
Stars itakuwa na magolikipa mahili Feisal Omar(mwana njenje)na Hakim Majaliwa(Mlandege),akisaidiwa na mabeki akili nyingi nguvu kidogo, Abdul-Latif Maalim,Muly Chomba,Lemy Mhando,Adam Jongo,Michael Mngodo,Adam Tenga,Libe Mwang'ombe(Germany Defense),Rashid(Beach Boy),Sultan na Evans Shangalai
Viungo ni Yahaya Kheri,Hadji,Helper,Elvis Dotto,Edgar Kisoka,Rahim Chomba,Francis Makala(Simba),Ally Hiral(Mpemba) na Juma Hadikubwa
Safu ya ushambuliaji itaongozwa na Gilles,Mudrick Majaliwa,Shabani Mwampambe,Hamfrey Owen,Inno Geofrey,Ebra Nyagaly,Denis Geofrey anechezea(Greensboro College,Nc),Vicent Ndusilo na Dullah Riyami
Mechi itachezewa stadium iliyopo
77Massachesetts Av,
Cambridge,
Ma.02139
"Stars itachukulia mechi hii kama sherehe za muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo April 26 mwaka huu utakua umetimiza miaka 46. Kwa sababu hiyo basi tuna mipango ya kuuandikia ubalozi ituletee afisa balozi, Cambridge, Ma siku hiyo ya Mpambano. Tunaomba Wabongo Massachusetts wafike kwa wingi kuipa nguvu stars", amesema mratibu DJ Luke.
mully unaweza kukumbia kweli kaka.jameel
ReplyDeletePicha ya stars imeharibika mbona hamna mchezaji muhimu katika timu, Kipa!
ReplyDeletekipa alikua captain anaongea na Refa...kamiss the shot.
ReplyDeleteSalaam kwa Adam Tenga nimefurahi kukuona kwenye picha. KIla kheir watanzania kwenye mechi hiyo. Hoya na sharifu watakua wanaifuatilia mechi hiyo. Bila kumsahau Yusufu Mkondolo. Swali Erick Baruti mbona hayupo kwenye timu??
ReplyDeleteJapo najua kukimbia ishu lakini ndio hivyo.
Ameir Sweet UK