Kwa niaba ya familia Alhaji Hussein Nandule natoa pole kwa familia ya Nassor Bin Jabry kwa kuondokewa na kipenzi chao Marehemu Seif Nassor aliyezikwa tarehe 13 mwezi wa April mwaka huu katika makaburi ya Kisutu jijini Dar. Marehemu alifariki usiku wa tarehe 12, April mwaka huu.
Mola amuweke pahala pema peponi. AMIN
-Ally Muhidin
WHO THE HELL ARE YOU???????????????WE THOUGHT YOU'RE A SOMALIAN!!!!!!!!!!!!!!!NOW WHAT ARE YOU TALKING ABOUT?
ReplyDeleteMbona huja cpture msiba wa Kibo Marealle Ankal?
ReplyDeleteInnalillahi Wainnailayhi Rajiuuun.
ReplyDeletePoleni sana wafiwa mwenyeezi Mungu awape moyo wa Subira, Amin.
R.I.P Seif.
We, mzungu pori hapo juu, Mwenyeezi Mungu na akuhukumu haraka iwezekanavyo. AMIN.
ReplyDeleteRACIST MKUBWA!
03:35anonymous check what ur writing visije vikatokea puani,ankal approve vizuri kama huyu ***.. sio unaachia vitu vingine vinakera..rip seif
ReplyDeleteAwe msomali au mrundi, huu si wakati wa kujadili swala hilo! Poleni wafiwa.
ReplyDelete