Akizungumza wakati wa ufunguzi wa Bonanza hilo la pasaka
lililoshirikisha timu kutoka ikulu ya Zanzibar na zile za Tanzania Bara,Mkurugenzi wa Huduma za ikulu Dar es salaam alisema lengo la michezo hiyo ni kukuza mahusiano mazuri kati ya wafanyakazi wa ikulu hizo mbiili, kuimarisha afya za washiriki na kuueanzi muungano wa Zanzibar na Tanganyika kwa njia ya michezo.Jana Timu ya ikulu Zanzibar ilitembelea ikulu ya Dar es Salaam na kupata fursa ya kukutana na Rais Jakaya kikwete na kupiga naye picha ya pamoja.
lililoshirikisha timu kutoka ikulu ya Zanzibar na zile za Tanzania Bara,Mkurugenzi wa Huduma za ikulu Dar es salaam alisema lengo la michezo hiyo ni kukuza mahusiano mazuri kati ya wafanyakazi wa ikulu hizo mbiili, kuimarisha afya za washiriki na kuueanzi muungano wa Zanzibar na Tanganyika kwa njia ya michezo.Jana Timu ya ikulu Zanzibar ilitembelea ikulu ya Dar es Salaam na kupata fursa ya kukutana na Rais Jakaya kikwete na kupiga naye picha ya pamoja.
HAbari na picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu Dar
Naona kuku wote wan'kwenda Unguja. Mbona nshindi wa Jogoo hawajambeba uzurii?? watam***nua mwenzao.
ReplyDeleteHongereni lakini.
Mdau
Ngazi mia
Unguja.
heko zanzibar uzi huo huo.
ReplyDeleteits so fun 2read Bongo news, u kno oly in Our country u can find all of super stars.
ReplyDeleteWe have also Obama, Zinane, 50Cent, Drogba n alot au Mnabisha???
Simmemuona PATO katiagoli,mbili tena.