

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndio Ankal hii picha ni kumbukumbu safi sana nikikumbuka nyumbani fikra napata fikra nyingi sana Mungu amrehem Mwaikenda amuondoshee adhabu ya kabuli
ReplyDeleteNn dau wa Iceland
KWELI MICHUZI UMETOKA MBALI SANA.JITAHIDI UWE MTU WA KUSADIA SANA JAMII/kumkumbuka Mwenyezi Mungu kwa kutoa sana sadaka, NATHAMINI MCHANGO WAKO ILA SEHEMU ULIZOPITA WEWE NI WATU WACHACHE SANA WAMEPITA,una expirience ya pekee kimaisha ilitakiwa uandike kitabu cha maisha yako kama changamoto kwa vijana wengine au watu wengine wajifunze.
ReplyDeleteumetoka mbali una stahili kula kuku zako.
umetoka mbali kaka acha ule bata sasa
ReplyDeletemichuzi kiasi raisi jakaya asikusahau umetoka nae mbali.
ReplyDeleteankal ni miaka sita tu ilopita mbona umebadilika sana au maisha tu hayo?
ReplyDeleteAnkal usitake kutuyeyusha mdomoni ni sigara kali ndo maana ulikuwa na nguvu nyingi za kuongoza libeneke!! hahahaaaaaaa this is funny!lol
ReplyDeleteAnkal,
ReplyDeleteNa JK pia katoka mbali, from kupanda mitumbwi ya kimatumbi to kuingia White House kila mwezi.
Mungu si Athumani.
(US Blogger)
anko salute!
ReplyDeleteMi nilikua najua nimtu wa kubabaisha tu,
kwali duniani hakuna mtu mwembamba.
ungeweza kuwafuta hao jamaa waliokuwa ndani ya maji aisee ni bonge la picha!yaani mngeonekana tu watu mliopanda mtumbwi.safi sanaaa.
ReplyDeleteSkip lunch siku hizi .....mweee umebadilika sana.....
ReplyDeleteduh ankal kumbe umetoka mbali na JK wacha akupe shavu tuhh si unajuwa mpende akupendae na kizuri kula na nduguyo? basi wewe kula bata tuh mkuu mmetoka mbali na JK
ReplyDeletekaka ankal michuzi hapo nakulabali, JK shavu lamiza akupe tunaelewa mmetoka mbali sana nae usijali ankal mkuu wa nani lazima upe baada ya 2010.
ReplyDeletemdau kitoka holland mafichoni.
Picha nzuri sana!! wote mnatabasamu na wengine wanajivutia bange mnasingizia kifuniko cha kalamu!!! si mbaya...mko porini!!!
ReplyDeleteDuu niliwahi kuiona hii picha zamani lakini sikujua huyo hapo mbele ni ankal Michizi.
ReplyDeleteAnkal,
ReplyDeletekama wewe ulikuwa unapiga kasia, nani kapiga picha hii???
Kuuumbe!?nilikuwa najiuliza kwa nini tangu JK aingie madarakani michuzi mambo yake yanaenda mstari tu.Sasa nimepata jibu.Just kidding!ha ha ha!
ReplyDelete