
"Wito Wangu, Imani Yangu" ni masimulizi ya kweli yanayohusiana na wito na imani ya mwandishi Padri Privatus Karugendo ambaye alikuwa Padri wa Kanisa Katoliki la Rulenge, ambalo siku hizi linaitwa Rulenge-Ngara, hadi mwaka 2000, alipokosana na Askofu Severine Niwe Mugizi kwa magomvi binafsi.
Vitabu hivi sasa vinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania
Musoma – Siroli Simba
Dodoma na Mwanza –Victoria
Mbeya – Nyambari Nyangwine Bookshop
Iringa – Lutengano Bookshop
Moshi – Swailucs Elimu Supplies, Ebenezer Book Center, Crane Craft Shop, Christian Bookshop
Arusha – Kase Stores Ltd
Dar es Salaam – Nyambari Nyangwine Bookshop maduka yaliyopo Likoma St, Mkunguni St, Sinza na Mwenge
Kwa wanunuzi/wauzaji wa jumla piga namba
0715959513 / 0767959500
au 0715317966 / 0754317966
kwa wanunuzi/wauzaji wa
mikoa ya Kanda ya Kaskazini
Chonde chonde Karugendo, usitafute umaarufu kwenye blog yetu ya jamii! Hivi huo uandishi ulisomea chuo gani vile? Mh, ninahisi ni namna tu ya kuganga njaa! Matatizo yako na Askofu yanatuhusu nini sie watu baki???
ReplyDeleteTuwe wastaarabu katika kuchangia, huyo anonymous wa 1 huenda akili zake sio sahihi.
ReplyDelete