Spika wa Bunge la Pakistan, Mhe. Dr. Fahmida Mirza akizungumza na wabunge toka Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika ambao wako Pakistan kwa ziara ya kikazi. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Jumuiya ya Madola ambae pia ni mbunge wa Bunge la Pakistan, Mhe. Kashmala Tariq, wa pili toka kulia ni Spika Mirza na watatu kulia ni Mhe. Elijah Okupa toka Uganda, Wa nne ni Mhe. Beatrice Shellukindo na Kushoto ni Katibu wa Msafara huo, Saidi Yakubu wa Bunge la Tanzania
Wabunge toka Chama cha wabunge wa Jumuiya ya Madola na Katibu wao wakifuatilia mjadala wa mabadiliko ya Katiba ndani ya Bunge la Pakistan



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...