Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo akipokea msaada wa nguoazi kutoka kwa wawakilishi wa waandishi wa habari wa Mkoa wa Morogoro hivi karibuni wilayani Kilosa. Wanahabari waliotoa msaada huo ili kuunga mkono juhudi za wadau mbalimbali za kuwasaidia waathirika wa mafuriko ya Kilosa ambao bado wanaishi katika Kambi baada ya makazi yao kuharibiwa na mafuriko. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Kilosa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongereni na Mungu awazidishie. Tuzidi kuwa na moyo huu huu wa kusaidiana sio kusubiri mpaka watu watoke nchi za nje kuja kutugawia nguo. Wakati tunaweza kutoa sharti moja ambalo hatulitumii na kumpa mwenzetu....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...