Akielezea zaidi Bwana Levis Paul alisema promosheni hio ya NITASOMA inakuja juu kwa kasi ikiwa hii ni wiki ya tatu tangu kuanza rasmi 15.03.2010 na kwamba ni matarajio yao kuchagua washindi watatu kwa vitabu vya sekondari, mwanafunzi mmoja simu ya mkononi na laptop katika wiki ya nne yaani jumatatu ijayo.
Alitoa changamoto kwa walengwa walio vyuoni na mashuleni kushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi NITASOMA UNI, au NITASOMA HIGH au NITASOMA SEC kwenda 15767 ili kushiriki katika promotion hii.
ELIMU KWANZA.
info.nitasoma.com
www.nitasoma.blogspot.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...