MUSSA HASSAN MGOSI ANAIPATIA SIMBA BAO LA 3 BAADA YA KUIPANGUA NGOMA YA YANGA KATIKA DAKIKA 74.
HIVYO NGOMA HIVI SASA NI SIMBA 3 YANGA 2
YANGA WANACHEZA 10 BAADA YA WILSON NDHLOVU KUTOLEWA KWA KADI NYEKUNDU. MUSSA HASSAN MGOZI ANA BAO 16 DHIDI YA MABAO 14 YA MRISHO NGASSA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Safi Mgosi tupe rahaa

    ReplyDelete
  2. Ilani ya Mgosi ilikuwa na ahadi ya kuwa"Messi" Jangwani. Ameshaitimiza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...