Namba 1
Namba 2

Namba 3
Namba 4
Mdau, u 'mshkaki' kiboko hapo?



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2010

    Vietnam wanatisha kibongo bongo haitufai ajali hazatisha.
    Ila iyo namba 1 si dhani kama waliweza kuendesha pikipiki maana wamezidi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2010

    Swali: hivi katika mshijaki nani uwa ana-enjoy abiria au dereva

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2010

    Mi naona kama ulivyozipa Namba 1 hadi 4, sababu Mshikaki Namba 1 kuna watu 8 na Namba 2 watoto 5,hiyo mingine haitishi sana.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2010

    Hee? Ama kweli tembea uone. Afande Mpinga na kikosi kizima cha Traffic Tz mmeona hiyo?

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 14, 2010

    JAMANI HIZO PIKIPIKI ZINAPIGIKA HUKO VIETNAM LOOH YAAANI WEWE ACHA TUU

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 14, 2010

    Panga pangua jamaa wakojuu. Pamoja na shida lakini jamaa hawa wanadhanira ya juu na uthubutu uliopea wanapofanya vitu vyao. Hapo lazma maendeleo yawatembelee
    Mungu ibariki Bongo na blahblah zetu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2010

    Naona watu mmenotice tu hao walivyppakatana lakini je mmeonabarabara zao na jinsi kulivyo kusafi...Look beyond the picture what you thingk you see...Zote hizo picture naona kwa mbali ni kusafi na barabara zina afya...Hazina pot holes kama zetu na kupauka kama vile mvua hainyeshi bongo....

    ReplyDelete
  8. yani mimi nikua najua ni bongo tu ndio tupiga na jua kumbe hata kwa wenzetu huko,ee daa hii kweli kali

    mdau kutoka
    usa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...