Baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Morogoro, wakiwa kwenye mstari mrefu wakisubiri zamu ya kuchukua vyeti vya kuzaliwa baada ya kukamilika kwa zoezi maalumu ya uandikishwaji wa vyeti hivyo katikati ya Mwezi huu kama walivyokutwa jana kwenye viwanja vya Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii mji kasoro bahari

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2010

    Wote wanaonekana ni vijana wadogo tu ambapo nyakati walizozaliwa mambo ya vyeti yalikuwa yameshaanza tayari.

    Dili za kugushi umri ndo huanzia hapa kama scandal ya Bw.Masauni wa UVCCM.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 21, 2010

    kuwe na utaratibu basi wa kuwatumia watu vitu kama hivyo kwenye masunduku yao ya posta kulingana muda ambao mtu amepewa badala ya kutengeneza foleni zisizokuwa za msingi. Hii itaboresha ufanisi na utendaji kazi kwa pande zote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...