Juma Nade wa timu ya mwanza Heroes (kushoto) akidhibitiwa na Alphonce Donald wa Shinyanga wakati wa mashindano ya Kombe la Taifa la Kilimanjaro ‘Kili Taifa Cup’ yaliyofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, jana. Mwanza ilifuzu kucheza robo fainali ya mashindano hayo baada ya kushinda magoli 2-0 dhidi ya Shinyanga. Mlinda mlango wa timu ya Shinyanga, Emmanuel Kingu akihamisha hatari langoni kwake huku John Boscow wa Mwanza akimzonga wakati wa mashindano ya Kombe la Taifa la Kilimanjaro ‘Kili Taifa Cup’ yaliyofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mwanza ilifuzu kucheza robo fainali ya mashindano hayo baada ya kushinda magoli 2-0 dhidi ya Shinyanga
Alphonce Donald wa Shinyanga (mbele) akimdhibiti John Bosco wa Mwanza heroes wakati wa mashindano ya Kombe la Taifa la Kilimanjaro ‘Kili Taifa Cup’ yaliyofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mwanza ilifuzu kucheza robo fainali ya mashindano hayo baada ya kushinda magoli 2-0 dhidi ya Shinyanga. Picha zote na Executive Solutions

Timu zilizofuzu robo fainali moja kwa moja na ambao watachuana Dar ni Arusha,
Iringa, Singida, Mwanza, Ilala na Temeke pamoja na Mara na Lindi ambao ni best losers.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 13, 2010

    mwanza oo mwanza,mwanza mji mzuri ooo,mwanza hatutoki mwanzaaa,mwanza tumefika tenaa!!

    kitega uchumi mwanza ni mahali sahihi,na tubanane mwanza!!

    hongereni vijana mwanza heroes

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2010

    Uwanja umejaa washibiki mpaka umetapika, Shida nini haswa-kiigilio kikubwa, matatizo ya miundo mbinu(usafiri)au mapenzi yenyewe ndo hivyo basi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...