HABARI KAKA MICHUZI

NAOMBA UNISAIDAIE KUPELEKA HABARI HII KWA WANA JAMII KWAMBA NYUMBA ILIYOPO KWEMBE MPAKANI KILOMITA 2 KUTOKA BARABARA YA MORORGORO UKIPITIA PALE KITUO CHA MAFUATA CHA NATOIL KABLA YA KIBAMBA INAUZWA.

KIWANJA NA NYUMBA VIMEPIMWA NA WIZARA YA ARDHI NA KIPO KWENYE HATUA YA OFFER. KINAUKUMBWA WA SQUARE METTER 1518.

ASKING PRICING NI 80,000,000/=

SERIOUS PEOPLE WAWASILIANE NA MR. DENNIS NGASOMA 0719 173444 AU 0754 449932 FOR INSPECTION NA KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU NYUMBA HII

NATANGULIZA SHUKURANI MZEE MICHUZI.

ASANTENI

ubavuni
kwa mbele
ipo barabarani kabisa




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 24 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 13, 2010

    aiseee!!yani inauzwa?

    i hope haiko mambondeni maana gharika hapana,

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2010

    Maji? Umeme? Miundombinu wakati wa mvua? Ni mambo muhimu ya kuweka wazi wakati wa kutangaza.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2010

    Kaka usiwe unataka kuwatia watu changa la macho. Kwa ninavyofahamu eneo la kwembe ni eneo lenye mgogoro. Labda utuweke wazi ni Kwembe ipi hiyo kwani nami nimeipenda hiyo nyumba na ipo ndani ya uwezo wangu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 13, 2010

    eeeee makubwa! siyo ya urithi kweli hii nyumba nisije nikatolewa nje na kundi la watu. Ila ni nzuri sema sasa kupata more details ni muhimu wadau.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 13, 2010

    Mh barabani kabisaa ama vp... zile mita ishirni na tano zimekaeje?? pls help

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 13, 2010

    Duh.... nzuri na yavutia macho... Imesisitizwa ipo barabarani kabisa!! hii imekaaje! manake magreda ya city yatailenga siku moja?? pls tuwekee hii sawa...

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 13, 2010

    Kwmbe ni eneo lenye mgogoro, unanihakikishiaje kwmba hiyo nyumba iko katika enao salama?

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 13, 2010

    Huyu muuzaji bei yake ipo very reasonable. Nyumba hiyo inavyoonekana ipo kwenye maeneo mazuri wadau mwenye pesa achangamkie nyumba hii, kwa ilipofikia na kwa bei hiyo ni karibu na bure, kwani hiyo bei ni ya kununua kiwanja kwa Dar. Lakini jengo limesimama tayari ni finishing tu na ramani ya nyumba inavutia not bad. Kama kila kitu kinaenda kisheria wadau hakuna cha kuwa na wasiwasi changamkeni ningekuwa karibu ningeichangamkia kwani ni bei ya nyanya hiyo.
    Mdau wa Damu USA

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 13, 2010

    unfinished house in Kwembe for 80m, Government house in Oyster Bay 35m!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 13, 2010

    ...Usije mjini.......!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 13, 2010

    Ushaambiwa ipo jirani na barabara...nunua afu siku kawambwa akohoe ndo utajua road reserve ni kitu gani

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 13, 2010

    Mchangiaji hapo juu wa Thu May 13, 04:35:00 PM wewe ndo muuzaji nini? Au we ndo dalali? maana duh!!!!!

    ReplyDelete
  13. Mbeba box USMay 13, 2010

    Gofu hilo mil 80, tena Kwembe huko !! Makaratasi hayajatulia,offer zipo kibao tunataka hati, road reserve hakuna. Changa hilo !!

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 14, 2010

    Akuna mnunuaji humu !!80m unazani kokoto hizo?? humu mnaishia kutoa comment tu hila sizani kama kuna mnunuzi!! jiulize upo ulaya mwaka wa ngapi hata pikipiki hujatuma kwenu !! ndo uje nunua nyumba!! nyie mnachekesha sana!!

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 14, 2010

    80m hapa nilipo nipo kwenye nyumba ya kupanga uswazi!! unazani napenda !! shekeli akuna.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 14, 2010

    wewe muuzaji utakuwa umefulia. kwa nini usimalizie tu kujenga!! kwani ulivyo kuwa unajenga ulikuwa unafikiria ujenge nusu then huuze. Mimi sipendi shinda kabisa bongo wajanja wengi !uje kulizwa 80m hivi kudadeki lazima kuchimbike

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 14, 2010

    haiwezekani ukauza nyumba hivi hivi!1 Nasikia bongo ndo deal hizo.ukisha nunua unasaau kama umenunua nyumba. nilisha sikia tukio kama hilo mzee mmoja kila akimuuzia mtu nyumba nunuzi akishalipa tu anasaau. wamelizwa wengi adi hule mzee alipo kufa !!

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 14, 2010

    wewe utajengaje nyumba then unafika kati unataka kuuza lazima kuna kitu!!! nyumba za urithi hizo

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 14, 2010

    umefulia wewe!!

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 14, 2010

    Bongo kazi...kwanza ujue hiyo ni ramani yako kwa hiyo unatakiwa kubembeleza mnunuzi.

    Pili mimi nauliza ni kuwa watu hawafanyi appraizal kabosa au ni markup kubwa sana bongo...Mimi najua finishing ya nyumba ndio inacost sana kuliko kusimamisha jengo na kuweka vigae tu..Unataka kuniambia hicho kiwanja ni ghali sana au ? manake ukiangalia hivyo vigae na hayo matofali yaliyojenga hiyo nyumba hayacost that much...Nasema hivyo kwa vile nimejenga mimi bongo.....

    OT hamna kitu nachukia kama mijitu inayosemaga wewe uko ulaya hata hujapeleka pikipiki kwenu...wewe uko bongo mbona huwapelekei wanao huko nje hiyo pikipiki...Kwanini nyie mnangojea tu kuletewa ...Kwanini nyie msiwapelekee watu huko nje hivyo vitu unavyovisema...Mmezidi kuwekesha mabakuli tu...Mnaandika sana huku lakini kila tukija ni asubuhi asubuhi mnaanza kugonga milango....Na kuanza kujieleza na matatizo as if sisi tunaoishi nje ya nchi hatuna matatizo. mimi nina mtoto hivi, mtoto wangu vile...na wengine wanakupa mtoto wakati huna...Unajua mwanao anamaliza shule sijui unaweza kumtafutia huko uliko.....Muache tabia hizo za kufikiri watu walioko nje ya nchi ni easy rider.

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 14, 2010

    mdau wa 10:15:00
    umewapasha wamezidi kukinga mabakuli kama vile walioko ughaibuni wanafanya kazi benki ya dunia huwa mnatuboaaaa basi tu ati mtafutie fulani shule aje huko nyoo kirahisiiii?! mara ooh huku hali ngumu lo kivipi jamani si kila siku mnasema nyumbani ni kuzuri?? na nyie ndugu zetu wa huko nyumbani muwe mnapeleka misaada kwa wazee sio mnyooshe mikono yenu mirefu hadi huku tulipo hata na sie tuna majukumu yetu nyeti kama ulizaa mwanao usitegemee mtu akusaidie kulea kimpango wenu na perfume nguo viatu marufuku si mnasemaga bongo new york??

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 14, 2010

    Ninachojua. Kiwanja cha Ardhi cha sq.m 1500 ni shs 4 milioni. Gharama ya kujenga hadi kufikia kuezeka ni kama shs 30 milioni. Kwa hio unapotaka kulipwa 80 milioni ina maana faida unayotengeneza ni shs 50 milioni.Ili mimi nimalizie iwe nyumba iliyokamilika itabidi nilipe kama shs 40 milioni juu.At the end of the day nitakuwa nimeinunua hiyo nyumba kwa shs 120 milioni!! Sina ugomvi na hilo. Ila nina hofu. Kwembe siku za karibuni lilitengwa kwa ajili ya kujenga chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili. Halafu kama uko karibu na barabara kuu iendayo Morogoro inatakiwa uwepo mita 50 kutoka katikati ya barabara. Hilo haliizuii serikali kukichukua hicho kiwanja halafu ukalipwa fidia. Swali. Hiyo fidia utakayolipwa itazidi 120 milioni? Na kwa utalipwa kiasi gani na lini?

    In conclusion. Sitaki kununua nyumba hiyo.

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 14, 2010

    Duh, ukitaka kuuza nyumba usiiweke humu watu wanaichambua kama karanga !!!

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 15, 2010

    umasikini shida sana. KAMA WEWE UNAYO HIYO HELA NUNUA AU MNUNULIE NDUGUYO. kisa cha kuanza kutukana walio ulaya nini ?
    Au unajua comment ipi imtoka mzenga, na ipi NY ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...