Home
Unlabelled
Spika Atembelea makumbusho ya Ukombozi wa nchi ya Uturuki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HONGERA MH.SITTA KWA ZIARA YENYE MAFANIKIO.UDUMU UHUSIANO MWEMA WA MABUNGE YETU HAYA MAWILI,IKIWEZEKANA NA WAO WAALIKWE KUJA KUITEMBELEA NCHI YETU
ReplyDeleteHivi, mbona hawa Waturuki wametokea kuizimia sana Bongo?
ReplyDeleteWachina naelewa wanahitaji mali ghafi, Wamagharibi najua ni mambo yao ya Ubeberu wa kawaida, Wakenya naelewa pia kuwa ni masoko, lakini hawa waturuki nashindwa kuwa-place.
mdau umesahau kama mturuki naye ni ulaya,na anamalengo sawa a nchi za ulaya,hujui kama mturuki uchumi wake ni imara kuliko nchi nyingi za ulaya,kama ugiriki na spain hawawezi kuufikia hata nusu uchumi wa jamaa hao,,pia ni moja ya nchi inayoheshimiwa sana kijeshi,ndo maana wanaogopa kuingiza EU,cha muhimu waje kuwekeza kwetu na tufaidike kwa pande zote.
ReplyDeleteKwa anony wa tatu.
ReplyDeleteNi kwamba inaeleweka kuwa uturuki iko ulaya, lakini utaonekana mrahisishaji wa mambo ukisimama mbele ya watu na kusema agenda ya uturuki juu bongoz inashadidiana na ile ya zile nchi za magharibi (yaani, uingereza, ujerumani, japani, marekani, uspaniola, ureno n.k.)
Ajenda ya nchi za magharibi ni kuendeleza uhusiano wa adult-child (characterised as Ubeberu). Hii inawafaa kwani malengo yao yako long term zaidi.
Kwa upande mwingine Uturuki imejionesha kutaka uhusiano wa adult-adult kama wanavyofanya wachina.
By the way, siyo kwamba ni vibaya, kwani hakuna nchi inayotaka kujitenga na mahusiano na nchi zingine
Mh adult adult ndiyo nini sasa! Mi najua huko uturuki kuna galz wazuri kufamtu...
ReplyDeleteUturuki ni nchi ya 17 duniani kwa utajiri, pia ni ya 3 kwa textile industries duniani, ina lots of big manufacturing industries kwenye nyanja za construction industries, military equipment kama ndege za kivita, vifaru n.k.
ReplyDeleteBila predujice ni nchi ambayo ina waislamu 99% lakini inaendeshwa kimangaribi. Utauliza kwa nini raisi wa kwanza na mpiganiaji wa uhuru marehemu Kamel Pasha aturk anaenziwa hadi sasa ni kwa sababu alikataa kuendekeza utawala wa kidini hususani ya waislam na akawa ni raisi wa kwanza katika nchi za zenye waislamu wengi kuruhusu na kupigania wanawake enzi hizo kuwa na viti bungeni.
Sikatai kuwa alikuwa na mahusiano ya karibu na watawala wengi mashuhuri wa ulaya enzi hizo.
Kwa maelezo zaidi ingia: Kamel Aturk biography kwenye google.
uturuki ni nchiambayo kasi yake ya maendeleo ni kali sanaa ukifananisha na nchizi zingine hapa ulaya miaka ya nyuma ilikuwamkiani leo ni ya saba7 hapa europ nawenyewe wanadai baada ya miaka 15 ijayo watashika 1 au 2,hivyo viongozi wetu wajifunze mengi sanaaa kwa hwa jamaa..
ReplyDeleteJamani hili jambo la ku-bow down (Kusujudu) kama nionavyo hapo pichani au nionavyo watu wengi wakifanya wakati wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu linanitatiza sana. Zamani nilikuwa nikiona si jambo kubwa lakini sasa baada ya kusoma maandiko matakatifu nikagundua si vema hata kidogo. Mungu hapendezwi kabisa na kiumbe wake yoyote kusujudia chochote isipokuwa yeye mwenyewe. Mungu peke yake ndio wakusujudiwa (Kupigiwa magoti au kuinamiwa). Kwani heshima haiwezi kuonekana kwa njia mbadala isipokuwa kwa ku-bow au kusujudu? Nawakilisha tu.
ReplyDeletekwa wenzenu tambarare sio enhheee sio ile dodoma yenu vumbiiiiiii ukameeeeee kwa nini hampafanyi pawe tambarare kama huko mlikotembelea??? aibuuuuuuuuu ati capital loooo!!!! ni capital ya kwanza kwa ubaya duniani pako ovyoooooooooooo!!!!
ReplyDeleteKu-bow down (kuinama) si lazima imaanishe kusujudu. Ninavyoelewa mimi ni ishara tu ya kuthamini jambo (appreciation). Mimi niki-bow down wakati wa kuaga mwili wa marehemu yeyote si kwamba nausujudu, bali nathamini kuwa tulikuwa pamoja na huyo ambaye sasa amefariki na pia natoa sala yangu wakati huo.
ReplyDeletePengine maana inatofautiana kati ya mtu na mtu.
sasa wewe anoy 08:03:00 PM umesema ukimsujudia mtu maanake ni kwamba mlikuwa pamoja , sasa hao walikuwa pamoja ???/
ReplyDeleteTHINK !!!