Home
Unlabelled
WAZIRI MARMO AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI WA DINI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka michuzi naomba uwasilishe hoja hii ijadiliwe, mdau kanitumia kwenye email anaomba ushauri, nikaona ni vyema nikufowadie jamii ijadili.
ReplyDelete"Hoja"
anasema boyfriend wake bahili,anasema sio kwamba anataka mwanaume huyo ampe fedha, au kumnunulia kitu, lakini tabia yake ya kudai hana fedha kila siku ndo inamboa.
ukweli ni kwamba anadai mwanaume anauwezo anataka kutumia fedha za mwanamke tuu, na hata kama hana mwanamke hukopa ili kutatua tatizo linalomkabili boyfriend wake. Lakini tangu wafahamiane na kujuana hajawahi hata kununuliwa zawadi au chochote hata (handikachifu)sasa anasema mapenzi gani ya upande mmoja?mbaya zaidi ni kwamba mwanamke akiwa na tatizo mwanaume haimgusi anadai hana jinsi!
nawasilisha!
Ankal mbona ni Vibaraghashia tu ndivyo vilivyokuwa vinachangia mada tu?au ni hizi picha mbili tu?
ReplyDeleteMchambuzi
WIZI MTUPU...WHY NOW?
ReplyDeleteWakianzisha wanasiasa inakuwa sio kuchanganya dini na siasa. Wakianzisha viongozi wa dini inakuwa kuchanganya wizi na siasa.
ReplyDeleteMambo ya aibu.
Wizi na siasa, duh?? upside down 250 degrees! Achana na hilo, mi sijafurahia hata kidogo kwa viongozi wetu wa dini kukubali kuwekwa sawa. Kwani walikuwa wakitudanganya all this time??? Sasa wakiongea tutajua ni CCM ndio wanaongea kupitia midomo yao. Ninyi viongozi wa dini ndio mlipaswa kuwaita CCM na vyama vingine katika kikao cha KUWAONYA KATIKA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, ninyi ni watu wazito sana (endapo mna-behave correctly). Mmetuangusha sana, sasa hata hatuelewi tumsikilize nani, Kaizari au Mungu.
ReplyDeleteQuran "Allah does not like the corrupt'
ReplyDeleteBIble "They promise them freedom, but they themselves are slaves of corruption. For whatever overcomes a person, to that he is enslaved."
(US Blogger)
Mimi naomba wajadili na udini ulioibuka kwa kasi miaka ya hivi karibuni. Maana ukiomba kazi baadhi ya sehemu tena taasisi za umma hupati mpaka uwe wa dini fulani. Madhara yake hiyo ni bab-kubwa wanafikiri watu hawaoni.
ReplyDeleteInaboa ile mbaaaaaya.
Hata ukiibania sijali.
Ankal.....hivi ni nani haswa anahitajika kufahamu sheria za OFFSIDE KTK mpira wa Miguu?! Nadhani ni mchezaji, refa, na Kocha, sie Washabiki tutakubaliana na maamuzi kadiri ya wahusika wanavyotafsiri sheria! Sasa Sheikh au Padri/Askofu, ufahamu wake washeria utasaidia nini kwenye uchaguzi?! HOSEA (refa) amelalamika rafu zimeanza mapema kabisa mbele yake na firimbi anayo mkononi badala ya kuweka mdomoni! Mtazamo wangu hapa ni usanii mtupu na wahusika wanawekwa sawa waache madongo watu "watanue" Wenye "AKILI" zao wataelewa! vinginevyo wajinga ndio waliwao.
ReplyDeleteKALAGA BAHOO!!!