KATIBU MKUU WA JUMUIA YA AFRIKA YA MASHARIKI BALOZI JUMA MWAPACHU[KUSHOTO] AKIKATA KEKI ILIYOREMBWA KWA RANGI ZA JUMUIA HIYO IKIASHIRIA TENDO LA KUMKARIBISHA MGENI WAKE BALOZI WA MAREKANI NCHINI ALFONSI LENHARD ALIPOTEMBELEA MAKAO MAKUU YA JUMUIA HIYO MJINI ARUSHA HIVI KARIBUNI. PICHA NA MDAU NOVATUS MAKUNGA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2010

    Tunatumai mliwasiliana kwa Kiswahili chepeesi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 21, 2010

    Ndio maana Mh.Alfonsi alijitolea kufanya kazi kama volunteer nchini Tanzania (peace corps) miaka ya mwishoni ya 1960 akiwa kijana mdogo, hivyo pengine bado anakumbuka na hajasahau kiswahili sanifu cha miaka hiyo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 22, 2010

    Juma Volter ninakuvulia kofia. Mimi nilidhani wanaowapokea watu hao aidha ni Mwenyekiti wa EAC au Naibu Katibu Mkuu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...