



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
inatia moyo, tukipata na mabasi ya abiria y auhakika itakua vizuri sana
ReplyDeletemdau DC
Kwa nini hayo mabasi yasiandikwe kwa Kiswahili tu.
ReplyDeleteUsafiri kwa Wanafunzi kuliko Scholar Account!
Tuombe Dua haya mabasi yawe kweli ya wanafunzi!Nakumbuka miaka ya tisini tulichangishwa kwa fimbo pesa za mabasi ya wanafunzi tukitegemea tutakomboka na tenda wakapewa Umoja wa Vijana wa SISIYEMU nyakati za wanafunzi kutoka skuli eti hayo magari yakawa ndio yanapumzika!!!Na nyakati wanafunzi tuko darasani ndio yanapiga mzigo baadae yakapotea kabisaa!!Mpaka Mzee Mwinyi akaagiza mabus ya mashirika ya Umma yawe yanachukua wanafunzi wakitoka maskulini nyakati za Jioni
ReplyDeleteWadau wa Jangwani, Tambaza, Zanaki, Azania , Forodhani wa miaka ya Tisini mtakumbuka mambo haya!!Michu usiibanie hii...Leo asubuhi umentia homa blogu yako ilikuwa ina quiqui(qwiqwi eti ilisema hujalipia)
Mdau Ugaibuni Magaribi mwa Dunya
JAMANI MUWE WAKWELI/BE OPEN AND FRANK JAMANI NANI ALICHANGSHWA MAUS YA WANAFUNZI HIYO MIAKA YA 90 MIMI NILIKUWEPO WAKATI HUO NA AKILI ZANGU HAKUNA MTU ALICHANGISHWA MABUS HIYO SI KWELI NI UONGO MTUPU WENYEWE HASIRA NA KUWAPAKA WATU MATOPE, MABUS YALINUNULIWA KWA PESA YA MSAADA WA BURE ULIOTOLOEWA KWA CHAMA TAWALA NA KUYANUNUWA MABUS HAYO NA KUPEWA UMOJA WA VIJANA KUYANDESHA
ReplyDeleteTatizo la kuwa na viongozi wafanyabiashara litatu-cost sana Tanzania. Hivi mradi wa DART umeishia wapi?, hawa viongozi wetu wanamiliki madaladala kibao matokeo yake wanauwekea kauzibe mradi wa DART ili wasitolewe nje ya biashara.
ReplyDeleteKama DART ingekuwa implemented huu mradi wa wanafunzi ulikuwa hauna haja. Kwani ukiwa na kampuni moja kubwa inapewa tender ya usafiri Dar nzima, haitapata hasara kusafirisha wanafunzi kwani still abiria wote ni wao.
Nchi za wenzetu unakuwa kuna kampuni mbili au Tatu zinafanya biashara kwenye majiji na still nobody denied a ride. Hawa jamaa kabla ya kuanza propaganda za uchaguzi 2010 kwa kutudanganya na picha za mabasi watueleze mradi wa DART umefikia wapi kwanza?
Nayapa miezi 13 hayatukuwepo barabarani.Wajanja watayanywa kama yale ya mwanzoni.
ReplyDeleteAfrica tunaitaji viongozi vijana na wasomi, viongozi wetu wote ni wazee uki-compare na nchi za nje. compare kikwete na wengine au rais wa kenya na wengine..wamezeeka akili ya kufikiri si sana ..
ReplyDeletemdau,
USA
Kama huu mradi hauendeshwi kwa kufuata misingi thabiti ya kibiashara, basi huu mradi hauko endelevu.
ReplyDeleteKama hakuna taasisi inayopata faida kutokana na hiyo service, huu mradi ni kwishnehi kabla haujaanza.
Yale mabasi ya UVCCM yalikufa kwa sababu hiyo hiyo. Ukweli ndiyo huo na asemayo vingine haelewi dunia inavyoenda.
Tunaishukuru CRDB Bank. Lakini hulka za viongozi wa TZ si tunazijua? Hebu subirini mradi huu utakaoishia. Ni mifukoni mwa wenye meno. Wanafunzi hapo hawana lao.Hili ni changa la macho
ReplyDeletehivi serikali haioni aibu kwa hili suala mpaka benki ije kusaidia ina maana wizara husika na wanafunzi imelala wapi...! kazi kuomba posho za vikao na utekelezaji wa masuala muhimu kwa manufaa ya jamii hakuna eti unaita dar es salaam jiji no way. huyu pinda naye bila aibu kaenda ningekuwa mimi ningegoma kabisa. viongozi wa hii nchi wananiudhi kabisaaaaa
ReplyDeleteMdau benki wanaandika lugha wanayoipenda.
ReplyDeleteWewe wa Kiswahili anzisha yako uandike kiswahili ama kisukuma chako.
Mnakosoa kila kitu
Kesho utauliza kwanini mabasi yana mataili.
Thats being BICHWA
mfano mzuri wa kuigwa watu kama wakina YUSUPH MANJI wakiomba kuchangia mabasi haya sidhani kama watakataa ni watu wa kujitoa kama aliweza kutoa tiketi za mechi ya stars na brasil ambapo sijui zaidi ya milioni mia mbili zimemtoka sidhani kama atakuwa mzito kuchangi japo tubasi kama huto 20 na ikiwa ni sehemu ya kuboresha elimu nchini tanzania
ReplyDeleteHUYO ANONYMOUS WA PILI HAPO JUU ANASEMA ETI"KWANINI MABASI YASIANDIKWE KISWAHILI".YAANI WEWE UNATAFUTA PROBLEM NYINGINE BADALA YA KUIONA FAIDA YA MABASI.TAFADHALI TUACHE UJINGA!WENGINE WOTE WAMEANDIKA MAONI YA MANUFAA:
ReplyDeleteJoni Guninita akae mbali kabisa na haya mabasi. Na wewe uanayedai sisisemu ilitoa mabasi elewa kuwa hata sisi ambao hatujawahi kuwa sisiemu tulichangia kama vile ambavyo tulichangia viwanja vya michezo
ReplyDeletekwa kweli kimei unastahili heko umelenga watu muhimu sana hope mabenki mengine nayo yatafuata nyayo za crdb
ReplyDeleteNinyi wawili, anonymous wa Tue Jun 08, 09:04:00 AM na wa Tue Jun 08, 09:41:00 AM (na wengineo wenye mawazo kama hayo), nitarudia: Mabasi hayo ingefaa yaandikwe kwa Kiswahili sio Kiingereza!
ReplyDeleteKwa kweli kitu naweza sema kwa Bank ya CRDB, Mungu wangu awazidishie pale mlipotoa , hakuna shida nilikuwa napata kama issue ya wanafunzi, mpaka ilifika mahali nilitamani sana kuleta mabasi kuwasaidia wanafunzi, ingawa bado mawazo haya ninayo. naomba niombe wengine wenye mapenzi mema waige mfano ukitaka kitu kifanyike fanya mwenyewe usisubiri kiongozi wako. Kimei Udumu milele. I envy you! whatever the name these buses will be given , to me it doesn't matter,so long as for students. Wanafunzi mabasi ni yenu tafadhali yatumieni kwa uangalifu msianze kuchorachora, na kugombeagombea ni yenu. Mungu ibariki CRDB.
ReplyDeleteCRDB, great! Nafikiri Mmekuwa na manejimenti nzuri ndo maana mkafikia hatua ya kuwasaidia wanafunzi. Mdumu milele, Kimei kazi nzuri wewe na wafanyakazi wako wote mbarikiwe. Tanzania inaweza kubadilika haraka kama kila mtu binafsi atabadilika. tupunguze maneno tufanye kwa vitendo. sijawahi sikia CRDB wakipiga kelele oh! hili liko hivi lile vile, ila wameonyesha kwa vitendo, haya wengine mko wapi!!!!!!!! jitokezeni. Asanteni sana wanaCRDB kwa niaba ya wanafunzi na wazazi, tumeguswa na kufurahishwa sana na huduma hii.
ReplyDeletejambo la maana hili,miaka ya 90 tulihangaika wanafunzi na usafiri lakini wa miaka hii wanakipata cha mtemakuni.
ReplyDelete