Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2010

    Ankal....hapo wapi? India, Bangladesh au Haiti!!? kweli vipaji vinazidiana! Khaaaaaa!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2010

    Hahahahahahah.....kweli huyu Dawasko -mtu hahahahahah. Nimecheka sana asubuhi hii. Kuna watu wana vitimbi duniani sijawahi kuona hahahahahaha. Viini machoooooo......!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2010

    Jamani ni nimecheka!!!!!!!!!!!hahahhahahahah!!kweli vipaji vipo si mchezo!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 15, 2010

    hahahaha 111 hahahah hhhhhahahaaa mmh speechless

    ReplyDelete
  5. Good one indeed... but idea ya kutembea na dawa pamoja na mswaki inamaana jamaa anapiga mswaki siku nzima au sio? I'm sure angefaa sana kwenye commercials za toothpaste... hajapata channels tu

    ReplyDelete
  6. Afana aleik... wallahi miujiza. lakini ni mazingaombwe tu.
    Huyu mtu angefaa aletwe Dar na awe maeneo ya kinyerezi ambako wachina wametandika mabomba na miaka inakatika bila maji. naona akianza huyu jamaa basi wachina na dawasco yao watazinduka na kutuletea maji rasmi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...