Home
Unlabelled
gerald hando na maulidi kitenge watua sauzi kuwacheki brazil na ureno
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mzee wa Tonge
ReplyDeleteYafaa sana tuwe tunafanya homework yetu vizuri, hasa kuhusu hali ya hewa popote tuendapo nchi za mbali za kigeni!
ReplyDeleteHuko Sauzi sasa ni wakati wa majira ya baridi; kuwasili huku tumevaa viatu, kama hivyo vya mwenzetu, haifai!
gerald mbona umekuwa mkondefu? huli? ile nyimbo ya mr 2 acha tuuu niletee vuvuzela la njano
ReplyDeletehahahaaaa mdau no 2 kanifurahisha kweli.sasa BONGO jua mwaka mzima huyo kitenge anafikiri na south africa ndo ivo ivo nini.kaazi kweli kweli.
ReplyDeleteMdau-ukerewe!!!
Mie mwenyewe nimejiuliza hizi sandoz na baridi, lakini nikajipa moyo kuwa labda wako ndani ya hoteli hawajatoka nje...
ReplyDeleteGerald Hando naomba sana uniletee japo vuvuzela la kijani please. Mdau.
ReplyDeletemaulid umechemsha sana jamaa yangu wabongo huwa tunajifanya wazungu
ReplyDeleteDurban afadhali kidogo kwa baridi huku cape town na sandal wakati huu nikujitesa tu vuvuzela shoprite ndo ubwete R 10 tu unapanda kubwaa Angalia usije ukavimba mdomo manake linastaili zake za kupuliza kama hujui unavimba mdomo
ReplyDeleteShule muhimu mdau no 2 umenifurahisha na hapo ndo mwanahabari hajui kwenda na wakati....maanaa jamaa katia sandoz na baridi hii hata wakaa ulaya wanaisikia
ReplyDeleteNa kweli wakati huu baridi Kitenge yeye anakufa na tai shingoni sijui kithungu kianapanda hapo au kibubu kununua vuvuzela...
ReplyDeleteaiii kwani wangapi wametua uko?
ReplyDeletemaana naona hawa tu ndo wanauza nyago umu!!
phew!!
Duuu!! Wabongo kwa kuchonga ni balaaa!!
ReplyDeleteMbona mnashambulia Kitenge tuu, hamuoni huyo dada nyuma ya Gelard kavaa t-shirt, na watu waili nyuma ya kitenge wamevaa pensi na thendoz..may b hamna barid kama mnavyodhani. by the way style ya nguo ni uhuru wa mtu binafsi.
Gelard,Kitenge na wabongo mlioenda huko mvaa bendera za TZ basi mtuwakilishe , Bila shata Dunga akiona atakumbuka kagoli tulikomgongoli Taifa!!
Mdau-Gogolamboto
yaaah, Ni bizuri watu wajue hali ya hewa kwa kweli nimemwona Kitenge nikajua labda yuko hapo Maryland Mwenge au Break Point anakunywa supu. Lazima muonekano wako wenyewe ukae ki-mpiorampira pia.
ReplyDeleteSuzi ni baridi mno. Hao jamaa waliovaa pensi wao wametoka manchi ya baridi kwa hiyo hiyo ya sauzi ni kama kipupwe tuu.
Nyie wabongo msipende kushambulia watu bila sababu za msingi,kwani kitenge mwenyewe hajipendi mpaka avae hivyo? ni kwamba si kila sehemu huko sauzi kuna baridi, kuna sehemu hakuna baridi kiasi hicho kama mnavyoona kwenye tv,ni kama hapa bongo ukienda Arusha au Iringa miezi hii ni baridi lakini ukiwa dar au Tanga hakuna baridi ki hivyo na huko nako ni hivyo hivyo ,so inabidi muelewe si kila sehemu huko sauzi kuna baridi kali kama mnavyofikiri.
ReplyDeleteWabongo kwa kuchonga duh ndio jadi yao huwezifahamu kama hapo alipo ni hotelini au wapi nevertheless kuvaa nguo au viatu ni choice ya mtu sasa unataka hata kama akiwa ndani avae viatu acheni hizo msipende kuongea ili mradi tu muonekane mmeongea kuna wale jamaa wawili nyuma yake wanaonekana wamevaa kati ya sketi au kaptula sijui na hapo mtasema nini.
ReplyDeleteAcheni wivu wa kitoto!!!! yaani hakuna la maana mliloliona zaidi ya mtu kuvaa sandals???? Kama mtu huna la kuchangia NYAMAZA
ReplyDeletehuyu ndio Gerald Hando?!!! , kumbe handsome hivi ...is he taken already brother Michuzi?
ReplyDelete