Asalaaam alekhum

Mimi naitwa Lisungu David Kambona ni mwandishi wa habari picha yangu hiyo hapo juu napenda kuwapongeza wanablogu wote tanzania especialy Legend wetu ankal lakini leo tarehe kumi na tatu mwezi wa sita na timiza miongo miwili na ushehe hivi nawashukuru wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wamenisadidia kufika hapa bila kuwasahau wazazi wangu na dada yangu neema kambona

vilevile nitakuwa mchoyo wa fadhila nisiopo washukuru Fullshangwe.blogspot.com na issamichuzi.blogspot.com wanalibeneke wenzangu kwani wananipa changamoto katika kazi
tembelea:
ukitaka kunipongeza live piga 0713153348

asalam alekhum

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 12, 2010

    Jamaa anaishi Australia, visiwa vya Fiji, Tokyo, ama wapi? Maana inaelekea yuko kwenye different 'time zone' na tulio wengi.

    Wengi wetu leo ni tarehe 12. O6. 2010. Yeye tayari yuko tarehe 13. O6. 2010.

    Anyway, Hepi Besdei to Yuu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2010

    happy birthday mkuu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 13, 2010

    KAMA SIKOSEI MIONGO NI CENTURY, YAANI WEWE UNA UMRI WA MIAKA ZAIDI YA 200?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 13, 2010

    acha ushamba wewe hapo juu, muongo mmoja ni sawa na miaka kumi na hiyo century yako unayoongelea kwa kimatumbi inaitwa karne! Nafikiri umeelimika kiasi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...