Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
Home
Unlabelled
maonesho ya wiki ya utumishi yaanza leo mwanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KITENDO CHA MAHAKAMA KUTENGUA UAMUZI WA KURUHUSU MGOMBEA BINAFSI KINAONESHA NI JINSI GANI MAHAKAMA INAVYOWEZA KUTOA MAAMUZI KWA SHINIKIZO TOKA SERIKALINI NA KUWA TAYARI KUWANYIMA HAKI WATANZANIA. MAHAKAMA INAPOSEMA INALIPELEKA SWALA HILO BUNGENI KWA MAAMUZI NI KUSHINDWA KWA O KUTAFSIRI KATIBA AMBAYO TAYARI INAMPA HAKI RAIA KUPIGA KURA NA KUPIGIWA KURA BILA KUPITIA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA. HATA HIVYO MAAMUZI HAYO HAYASHANGAZI KWANI BAADHI YAO NI WAGOMBEA WATARAJIWA KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI HIVYO WANAOGOPA KUACHA KWENYE MCHAKATO WA UGOMBEAJI, HIZI NDIZO MAHAKAMA ZA NCHI ZA KIAFRIKA KWANI ZINA TABIA YA KUMLINDA BWANA.
ReplyDeleteHongereni bunge kwa kutoa elimu ya masuala ya bunge!nawaona vijana menawiri sana!
ReplyDelete