
WAAMUZI NA MAKOCHA WA BASKETBALL
WAANZA MAFUNZO DAR
Mambo Basketball imeandaa mafunzo kwa makocha, waamuzi na wachezaji wa mpira wa kikapu kwa wanaume na wanawake.
Mafunzo hayo yanafanyika katika uwanja wa international school of Tanganyika, Masaki, jijini Dar na yameanza jumapili tarehe 13/06/2010 hadi tarehe 18/06/2010.
Mafunzo hayo yatawahusisha waalimu wote wa mpira wa kikapu na waamuzi toka Dar na mikoa jirani. Wachezaji ni wale waliochaguliwa na kipaumbele kikiwa ni wachezaji wa timu ya mkoa wa DSM.
Kocha Cutris Symonds wa Hoop Magic Sports Academy toka marekani alitarajiwa kuja kushirikiana na makocha wazalendo kutoa mafunzo hayo lakini kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wote huenda asifike.
Kwa upande wa Makocha na waamuzi mada kubwa itakuwa majadiliano juu ya ufundishaji /uchezeshaji utakao msaidia mchezaji na kumuendeleza kuutumia ujuzi wake uwanjani pia kumsaidia kimaisha awapo nje ya uwanja (positive coaching/ officiating).
Wachezaji watafundishwa mbinu za uchezaji ki-timu (team tactics).
Mambo basketball imekuwa ikifanya mafunzo kwa wachezaji hapa Tanzania katika kuendeleza na kukuza mchezo wa mpira wa kikapu hapa Tanzania. Mbali na Dar, mafunzo mengine yamefanyika katika mikoa ya mikoa ya Morogoro na Dodoma.
Imetolewa na
Coach BAHATI MGUNDA – 0754383140.
Coordinator MAMBO BASKETBALL.
Mtandao wa Mambo BOFYA HAPA
Mambo Basketball imeandaa mafunzo kwa makocha, waamuzi na wachezaji wa mpira wa kikapu kwa wanaume na wanawake.
Mafunzo hayo yanafanyika katika uwanja wa international school of Tanganyika, Masaki, jijini Dar na yameanza jumapili tarehe 13/06/2010 hadi tarehe 18/06/2010.
Mafunzo hayo yatawahusisha waalimu wote wa mpira wa kikapu na waamuzi toka Dar na mikoa jirani. Wachezaji ni wale waliochaguliwa na kipaumbele kikiwa ni wachezaji wa timu ya mkoa wa DSM.
Kocha Cutris Symonds wa Hoop Magic Sports Academy toka marekani alitarajiwa kuja kushirikiana na makocha wazalendo kutoa mafunzo hayo lakini kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wote huenda asifike.
Kwa upande wa Makocha na waamuzi mada kubwa itakuwa majadiliano juu ya ufundishaji /uchezeshaji utakao msaidia mchezaji na kumuendeleza kuutumia ujuzi wake uwanjani pia kumsaidia kimaisha awapo nje ya uwanja (positive coaching/ officiating).
Wachezaji watafundishwa mbinu za uchezaji ki-timu (team tactics).
Mambo basketball imekuwa ikifanya mafunzo kwa wachezaji hapa Tanzania katika kuendeleza na kukuza mchezo wa mpira wa kikapu hapa Tanzania. Mbali na Dar, mafunzo mengine yamefanyika katika mikoa ya mikoa ya Morogoro na Dodoma.
Imetolewa na
Coach BAHATI MGUNDA – 0754383140.
Coordinator MAMBO BASKETBALL.
Mtandao wa Mambo BOFYA HAPA
WACHEZAJI WALIOCHAGULIWA KUHUDHURIA MAFUNZO HAYO.
WANAUME/ WANAWAKE
1: ANTHONY JEIKANGA- VIJANA
2: DOTTO ZEPHANIA- VIJANA
3: SLYVIAN YUNZU- SAVIO
4: GEORGE TARIMO- SAVIO
5: GILBERT BATUNGI- ABC
6: GERALD BARU-OILERS
7: LUSAJO SAMWELI- OILERS
8: JAMES BROWN- JKT
9: MOHAMED YUSUPH- SAVIO
10: FRANK KUSIGA- JKT
11: WAZIRI GUMBO – SAVIO
12: MOHAMED MSHALE- PAZI
13: EMMANUEL MWIKALO- VIJANA
14: SUNDAY MATONDO – VIJANA
15: SAMWEL SIJE- PRISON
16: ALEX GEORGE- PRISON
17: ALPHAEL KISUSI- VIJANA
18; COLNELL JOSEPH– CHUI
19: HEMED CHOKA- JKT
20: FRANK AUGUSTINO - ABC
21: Stephan ATANASIO- ABC
22: MARTIN KOLIKOLI- MAMBO BB CAMPS
23: SUNDAY – MAMBO BB CAMPS- JOGOO
24: BARAKA MOPELE- MAMBO BB CAMPS- JOGOO
25: ANDREW- MAMBO BB CAMPS- JOGOO
26: BENEDICT MKANGALA- CHUI
27: ANDREW IKUNGURA- PAZI
1.FARAJA MALAKI
2: JABU SHAABAN
3: JACKLIN SHEMIZA
4: AGNESS SIMKONDA
5: JOICE MIDODI
6: ANOMISIATA ANTHONY
7: GRACE MUGYABUS-JESHI STARS
8: JASMINE BABLIA
9: ZAKIA KONDO
10: ESTER NELSON
11: EASTER NELSON
12: AMINA AHMED
13: NINA MLIGA
14: HADIJA KILAMBO-LIONESS
15: NELLY ANYINGISE
16: LULU JOSEPH
17: EVODIA KAZINJE
18: SHEILA KIBWANA
19: WEMA MATHIAS
20: AGERA IGNUS-JKT
21: NEEMA EMANUEL
22: ELIZA CHRISTOPHER
23: ANNA PAUL
24: GRACE -POLISI
25 : DOROTHER LUKINDO-POLISI
26: HAWA JOHN
26: NAIMA BORI
27: LEOKADIA RAPHAEL
28: NURU HEMEDI- PRISON
29: TUKUSUBILA MWALUSAMBA - VIJANA
30: YASMIN NAGIB- VIJANA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...