

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani Watanzania sisi! Mungu na azidi kutubariki! Yaani tupo tofauti sana yaani! Yaani tuna umoja na mshikamano na upendo! Sijawahi gota hapo tena! Nadhani legacy ujima na ujamaa inachangia, kwa hiyo tusimlaumu sana Baba wa Taifa kwa siasa zake hizo! Kwani matunda yake ndio kama hayo!
ReplyDeleteIngekuwa nchi nyingine hapo, yaani ndio basi tena, kitu kingeteketea hicho, kwani hamna mtu wa kujali lisilo lake!
Kweli Mungu na azidi kutubariki. I wish kama mipasuko ya kisiasa nayo isingekuwepo! Yaani ingekuwa Burudani kwa kwenda mbele.
Hapo yawezekana kabisa kuwa wasamaria wema ni 15% na wengine hapo hawatabanduka mpaka kieleweke atakapotokea mwenye gari na wengine watajibambika kuwa walisaidia na kudai posho. Mwenye gari akigoma au akisema hana fedha za kuwalipa basi litaweza kuwashawa moto hilo au hata kuwekewa misumari kwenye magurudumu. Hivyo wasamaria wapo ila wengi wao ni wahuni tu wanataka kuingiza siku yao hapo.
ReplyDelete