fundi mitambo akiweka mambo sawa kwenye kifaa cha kisasa cha kuoneshea sinema katika viwanja vya nje usiku wa kuamkia leo kabla ya gemu la brazil na korea kaskazini. Kampuni ya AfriCinema imekuwa ya kwanza kuleta mtambo huu wa kisasa ambao unafaa sana kwa kuonesha sinema za mafunzo ama kampeni sehemu yoyote ili nchini kwani una umeme wa kujitegemea wa jenereta. kazi kwenu mapromota na waendesha kampeni za mafunzo na biashara
Kitambaa maalumu cha kuoneshea sinema nje ambacho ni kikubwa kuliko vyote nchini na huonesha picha kwa ubora wa hali ya juu. kitambaa hiki chenye urefu na upana wa futi 30 husimikwa kwa kujazwa upepo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2010

    Maendeleo ndiyo furaha yetu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2010

    we toka hapo unatuziba bwana.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2010

    Hawa jamaa hatimaye wameanza, nimewakisia tangu mwaka jana, hongereni!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...