Ankal pole na shughuli za hapa na pale zaidi na zaidi ni kutupa mambo kwenye libeneke, nilikuwa naomba wadau watusaidie kutujuza nini maana ya kiduku maana imekuwa maarufu sana siku hizi ikiwezekana na hata historia yake kwa kifupi imetokea wapi. na nini hasa asili yake taarabu au bongo fleva.
ni hayo tu.
mdau wahapahapa.
ni hayo tu.
mdau wahapahapa.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...