Meneja uhusiano na mawasiliano wa NIC,Mwanaid Shemweta (kulia) akijadiliana jambo na maafisa waandamizi wa bima ya maisha,Immaculate Maro (kati) na Ndina Nsaji (kushoto) katika banda lao la Bima lililopo ndani ya viwanja vya maonyesho ya biashara vya Mwalimu J.K. Nyerere,kilwa road jijini Dar
Meneja wa NIC anaeshughulikia maswala yote ya Bima kasoro ya Magari,Ntimba Bunny akiwaeleza wateja waliofika katika banda lao la Bima lilipo ndani ya viwanja vya maonyesho ya biashara vya Mwalimu J.K. Nyerere,kilwa road jijini Dar
wadau wa NIC wakiwa katika picha ya pamoja, toka kushoto ni Henry Machoke (Meneja Masoko),Mwanaid Shemweta (Meneja Uhusiano na Mawasiliano),Adelaida Muganyizi (Afisa Masoko),Mary Kyomo (Meneja Mipango na Uwekezaji) na Meneja wa NIC anaeshughulikia maswala yote ya Bima kasoro ya Magari,Ntimba Bunny wakiwa ndani ya banda lao la Bima lilipo ndani ya viwanja vya maonyesho ya biashara vya Mwalimu J.K. Nyerere,kilwa road jijini Dar
MWANAID UMEPENDEZA SHOSTI. MAMBO NDIO HAYO. MWENDO MDUNDO....
ReplyDelete