wakongwe wa muziki nchini Old Skul Tanzania wakiwa katika tizi kujifua na onesho lao la kukata na shoka litalofanyika Karimjee hall jijini Dar Julai 7, mwaka huu kwa madhumuni ya kuwaunganisha wakongwe hawa waliowika enzi hizo na sasa pamoja na kusaidia wazee na watoto wenye matatizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2010

    hivyo vidole hapo kwa keyboar lazima ni waziri ally wa njenje

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 17, 2010

    sasa wewe mtoa mawazo wa mwanzo hivi wewe ni juha kalulu wa namna gani? kwa nini usiangalie hiyo clip na ukajua badala ya kuleta comment isiyo na maana hapa?

    ReplyDelete
  3. hapana huyo kwenye keyboards ni salvador kidevu, waziri ally ni yule aliyesimama katikait, wadau huyo anayepiga sax amevaa shati la jah ni nani? anapiga nice lines

    ReplyDelete
  4. ZeroBrainJune 18, 2010

    Kumbe sasa nimeelewa kwa nini BULOGI YA KITIME kule imedoda karibu mwezi mzima sasa hakuna kitu kipya kinaingia kule!

    Kumbe yuko BIZE NYINGI huku kwenye mazoezi haya mpaka hana muda wa ku-apdet bulogi yake!

    Pole na shughuli Kaka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...