Home
Unlabelled
salamu toka sauzi kwa mdau dhiresh
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
We vipi? Kufanya kweli ni kuweza kuendelea kuwa katika mashindano na siyo kukumbuka shuka wakati kumekucha!
ReplyDeleteWamatumbi wameshatolewa kwenye mchezo wewe unasema wanaujua mpira?
ReplyDeletehicho alichofanya leo SA kinatosha wewe ulitegemea south angefika wapi? watu wameanza mpira baada ya mandela kutoka jela tofauti na kina brazil wameanza tangu pele hajazaliwa we tusanjitih vipi
ReplyDeletePicha ya pili hao ni mashabiki wa MEXICO Sio Sauzi.
ReplyDeleteDhiresh, kutokana na picha ya kwanza naona uliona "vitu" vingi zaidi kuliko soccer...he he he!...Aggrey.
ReplyDeleteebwana Fifa noma Beer moja ndani ya uwanja R 30 (Budweiser)wakati mitaani tunapata six pack kwa bei hio hawa jamaa wanatuibia tu jamaa kajichanganya na wa mexican inaelekea hawapendi bafana
ReplyDeleteNdiyo, Bafanabafana kuigunga Ufaransa 2-1 ni jambo la faraja.
ReplyDeleteMaana hapa Paris, Ufaransa magazeti kama El Figaro n.k wanataka timu nzima ya Ufaransa ifumuliwe. Thierry Henry ameitwa Ikulu kuonana na Mh. Rais wa Ufaransa Sarkozy ajieleze kwa niaba ya Timu ya Ufaransa imekuwaje?
Mdau
Jijini Paris